Kombe la Kagame kufanyika Z’bar
CHAMA cha soka Zanzibar (ZFA ) kimethibitisha kuwa Zanzibar itakuwa mwenyeji wa mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ‘Kombe la Kagame’ Julai mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUFANYIKA JUMAMOSI MKURANGA MKOANI PWANI
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Kagame ‘Cup’ kufanyika Dar
Michuano ya Kombe la Kagame imepangwa kufanyika nchini Tanzania mwanzoni mwa mwezi Juni huku Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likiwa kwenye mazungumzo ya mwisho na wadhamini wa michuano hiyo.
10 years ago
GPLYANGA YAJIWINDA NA KOMBE LA KAGAME
Kocha Hans van Pluijm (mwenye kofia) akiwapa maelekezo wachezaji wake. Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa, akitoa maelekezo kwa wachezaji.
Mchezaji mpya wa Yanga, Lansana…
10 years ago
Mwananchi29 Jul
KOMBE LA KAGAME: Lazima tuwanyooshe
>Ni vita leo. Ndivyo unavyoweza kusema pale zinapokutana Yanga na Azam katika mchezo wa robo fainali ya mashindano ya Kagame kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziKOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0
10 years ago
Mwananchi20 Jul
KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA
>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5q5teEQPfO0/default.jpg)
10 years ago
VijimamboAZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Yanga yaendeleza 'siasa' mashindano ya Kombe la Kagame
Uongozi wa Yanga umetaja sababu nane zilizowafanya kutaka kupelekea kikosi chenye idadi kubwa ya wachezaji wa timu yao ya vijana (Yanga B) katika mashindano ya Kombe la Kagame yanayoanza kesho mjini Kigali, Rwanda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania