Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la Kagame kufanyika Z’bar

CHAMA cha soka Zanzibar (ZFA ) kimethibitisha kuwa Zanzibar itakuwa mwenyeji wa mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ‘Kombe la Kagame’ Julai mwakani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUFANYIKA JUMAMOSI MKURANGA MKOANI PWANI

 Ofisa Habari wa Kituo cha Redio cha EFM, Samira Sadiq (kushoto), akizungumza na wanahabari (hawapo pichani), kabla ya kumkaribisha Meneja wa Mawasiliano wa redio hiyo kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu tamasha la muziki mnene bar kwa bar litakaloanza kesho kutwa Jumamosi, Agosti 5, 2015 Mkuranga mkoani Pwani. Kulia ni Meneja Usambazaji na Mauzo wa Kampuni ya Simu ya Smart, Haidari Chamshama na katikati ni Meneja wa Mawasiliano wa EFM Redio, Denis Ssebo. Kampuni ya simu ya Smart...

 

11 years ago

Mwananchi

Kagame ‘Cup’ kufanyika Dar

Michuano ya Kombe la Kagame imepangwa kufanyika nchini Tanzania mwanzoni mwa mwezi Juni huku Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likiwa kwenye mazungumzo ya mwisho na wadhamini wa michuano hiyo.

 

10 years ago

GPL

YANGA YAJIWINDA NA KOMBE LA KAGAME

Kocha Hans van Pluijm (mwenye kofia) akiwapa maelekezo wachezaji wake. Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa, akitoa maelekezo kwa wachezaji.
Mchezaji mpya wa Yanga, Lansana…

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Lazima tuwanyooshe

>Ni vita leo. Ndivyo unavyoweza kusema pale zinapokutana Yanga na Azam katika mchezo wa robo fainali ya mashindano ya Kagame kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

KOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa KMKM, Khamis Ali Khamis wakati wa mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-0. Deus Kaseke akiwatoka wachezaji wa KMKM. Golikipa wa timu ya KMKM ya Zanzibar, Nassor Abdulla Nassor akiokoa moja ya hatari langoni mwake wakati timu yake ilipopambana na Yanga katika mchezo wa Kombe la Kagame.Donald Ngoma (kulia) akiwania na beki wa KMKM, Khamis Ali Khamis.Mashabiki wa Yanga...

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA

>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015

Kombe la Kagame walilotwaa Azam FC. (Picha zote na Francis Dande) Nahodha wa Azam John Bocco akipokea kitita cha dola za kimarekani dola elfu 30.Viongozi wa Azam pamoja na wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja.
 Wachezaji wa Azam FC wakishangilia wakiwa na Kombe lao baada ya kukabidhiwa katika mchezo wa fainali baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 2-0.Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yaendeleza 'siasa' mashindano ya Kombe la Kagame

Uongozi wa Yanga umetaja sababu nane zilizowafanya kutaka kupelekea kikosi chenye idadi kubwa ya wachezaji wa timu yao ya vijana (Yanga B) katika mashindano ya Kombe la Kagame yanayoanza kesho mjini Kigali, Rwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani