Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANDY COLE NDANI YA COCO BEACH LEO

Muonekano wa jukwaa kwa ajili ya kuangalia mechi kati ya Manchester United na Aston Villa katika viwanja vya Coco Beach leo. Waliopo stejini ni washereheshaji Adamu John na Khamisi Saidi. Droo ya moja kwa moja (live) ya kuwatafuta na kuwatangaza washindi wa tiketi mbili za kwenda Old Trafford itachezwa leo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI LEO KATIKA MAONESHO YA KARIAKOO AT COCO BEACH


Maduka ya bidhaa mbalimbali.    Muuzaji wa cd  mbalimbali naye akisubiri mteja Mwandishi wa Global Publishers, Nyemo Chilongani akipewa maelekezo ya jinsi ya kununua bidhaa kupitia Tigopesa na mmoja wa mawakala…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madee, Chege kupagawisha mashabiki Coco Beach leo

KAMPUNI ya Vodacom imeandaa tamasha kwa wateja na mashabiki wa muziki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii mahiri kimuziki, Ahmad Ally ‘Madee’ na Juma Said ‘Chege’....

 

9 years ago

Michuzi

FNB STAFF JOINS COCO BEACH VENDORS FOR A BEACH CLEAN UP TO MARK UHURU DAY

The First National Bank employees taking part in cleaning Coco Beach yesterday following Presidents John Magufuli's "call to clean" announcement in celebration of Independence Day. The bank provided a generous support to Coco Beach Action Group who initiated an event named Coco Beach Usafi Tu and its employees joined the group and beach vendors to cleanup coco beach area marking as part of Uhuru Day celebrations. (Photo: Our Staff Photographer)Following Presidents’ call to cleaning...

 

10 years ago

Michuzi

BINGWA WA KUCHEZA NA PIKIPIKI ATUA NCHINI LEO KUTOA BURUDANI COCO BEACH, DAR


MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.

 

10 years ago

Michuzi

Wakazi wa Dar wakiisherehea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo

 Sehemu ya wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo, ikiwa ni sehemu ya kuisherehekea sikumbuki ya Eid El Fitr.  Wengi hupenda kwenda sehemu ya namna hii kwa ajili ya kupunga upepo mwanana wa Bahari. 

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAMPOKEA ANDY COLE

Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United Andy Cole akiwa sehemu ya VIP kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jana usiku mara tu baada ya kuwasili kwa mwaaliko wa kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Bw. Jackson Mbando (kulia) akimkaribisha Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United Andy Cole (kushoto) mara tu baada ya kuwasili nchini kwa mwaaliko...

 

11 years ago

Mwananchi

Andy Cole awapa nafasi U-17 wa Tanzania

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Andy Cole amewaasa vijana walio chini ya miaka 17, kuongeza bidii ili kutimiza ndoto zao za kucheza kwenye timu kubwa duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Andy Cole wa Manchester United kutua Dar kesho

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Andy Cole anatarajia kutua jijini Dar es Salaam kesho, imethibishwa.

 

9 years ago

TheCitizen

Lukuvi’s orders on use of Coco Beach

Minister for Lands, Housing and Human Settlement Development William Lukuvi yesterday issued sweeping executive orders two days after he was sworn in, reiterating that Coco Beach in Oysterbay will remain a public place.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani