Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALIYOJIRI LEO KATIKA MAONESHO YA KARIAKOO AT COCO BEACH


Maduka ya bidhaa mbalimbali.    Muuzaji wa cd  mbalimbali naye akisubiri mteja Mwandishi wa Global Publishers, Nyemo Chilongani akipewa maelekezo ya jinsi ya kununua bidhaa kupitia Tigopesa na mmoja wa mawakala…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI BOXING DAY COCO BEACH, JIJINI DAR

Mlevi akiwa amezima mchana kweupee baada ya kunywa pombe kupita kiasi. Mashost wakiwa wanazurula ufukweni. Chegge na Y-p…

 

11 years ago

GPL

WAFANYA BIASHARA WA KARIAKOO KUJIACHIA COCO BEACH

Msemaji wa Hazina Capital, Rachel Ndauka (kulia) na William Joseph (kushoto) wakiongea na wanahabari (hawapo pichani). Hazina Capital tunapenda kujitambulisha/kuwatangazia Watanzania juu ya soko jipya la  biashara litakalojumuisha wafanyabiashara wa bidhaa za aina mbalimbali  kutoka Kariakoo  na  kuwapa nafasi ya kuonyesha pamoja na kuuza bidhaa zao Coco Beach  ambalo tumeliita ‘Kariakoo at Coco...

 

11 years ago

GPL

ANDY COLE NDANI YA COCO BEACH LEO

Muonekano wa jukwaa kwa ajili ya kuangalia mechi kati ya Manchester United na Aston Villa katika viwanja vya Coco Beach leo. Waliopo stejini ni washereheshaji Adamu John na Khamisi Saidi. Droo ya moja kwa moja (live) ya kuwatafuta na kuwatangaza washindi wa tiketi mbili za kwenda Old Trafford itachezwa leo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madee, Chege kupagawisha mashabiki Coco Beach leo

KAMPUNI ya Vodacom imeandaa tamasha kwa wateja na mashabiki wa muziki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii mahiri kimuziki, Ahmad Ally ‘Madee’ na Juma Said ‘Chege’....

 

9 years ago

Michuzi

FNB STAFF JOINS COCO BEACH VENDORS FOR A BEACH CLEAN UP TO MARK UHURU DAY

The First National Bank employees taking part in cleaning Coco Beach yesterday following Presidents John Magufuli's "call to clean" announcement in celebration of Independence Day. The bank provided a generous support to Coco Beach Action Group who initiated an event named Coco Beach Usafi Tu and its employees joined the group and beach vendors to cleanup coco beach area marking as part of Uhuru Day celebrations. (Photo: Our Staff Photographer)Following Presidents’ call to cleaning...

 

10 years ago

Michuzi

BINGWA WA KUCHEZA NA PIKIPIKI ATUA NCHINI LEO KUTOA BURUDANI COCO BEACH, DAR


MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.

 

10 years ago

Michuzi

Wakazi wa Dar wakiisherehea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo

 Sehemu ya wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo, ikiwa ni sehemu ya kuisherehekea sikumbuki ya Eid El Fitr.  Wengi hupenda kwenda sehemu ya namna hii kwa ajili ya kupunga upepo mwanana wa Bahari. 

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani