UNATAFUTA MCHUMBA? NINI CHA KUFANYA?
![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YlhCLV5dzUa-0Lwhq-twBA7vkUIH1Lo9LskDDR6P8KgiSY8NifTQW2ZahnemxadMaS0Ik4TCYnOnli0ToZZbChk/valentinesdayhappycouples_00171161.jpg)
KWENYE dunia ya leo kila mtu aliyekamilika anahitaji mchumba. Uchumba ni hatua muhimu ya kuelekea kwenye ndoa. Huwezi kuingia kwenye ndoa bila kupitia katika safari ya uchumba. Safari hii inahitaji umakini wa hali ya juu maana ukikosea, safari ya kuelekea kwenye ndoa itakuwa na matatizo kwako. Hiyo ndiyo sababu ya leo kukuletea mada hii ili wewe msomaji wangu upate kuelimika. Lazima tutambue kwamba, safari ya uchumba inaanza kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdKBUAsz9t0D*bdRQ8Qxk6QIrmZGSy9ooZ5Qqw7OvjXhWd8YJhbQRCUNcTe0L9--eS4I8wOXncO2ESFJtvx0O42/5.jpg?width=650)
HAKURIDHISHI FARAGHA, NINI CHA KUFANYA?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz63LrzXstWDG1mSf6k6tF9luoEjw*AiyQt8fRTijtUuIRCLXn6JfC5Jqr1EcDW-vPBptkMfLWRnBWXLUB73Nk3jd/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEbaE*VbpYAyd302Tmzcac*sz9bJslNwIV-HOtdu*bI7d6Pi4O5Yq3qrUEknW66fa87A4im0hRjxUaQ6Yl6pQu2/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA WAZAZI, NDUGU WANAPOMCHUKIA UMPENDAYE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSshcFJ5RcM1hWwyF4PHzYWGEw1206gX5Fd*Anuw1SD3VUMvHnnBD2LNDhsrC8rQXfYyL9-J5FEhAr0MHQT1PcFO/xxlv.gif)
NINI CHA KUFANYA WAZAZI, NDUGU WANAPOMCHUKIA UMPENDAYE?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXJAzpbWY9b1R6*dfot-i29JtlQI8P2Soq2KZiFwJ96FZjpCKu3H5e8KbGFJUtcd9Oet*uF86iTW-N5ETAg23SM/mahaba.jpg?width=650)
NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN6utq0XlNSu74jiUm9WDxVf4rweZ7bVeB1jaiLo4woX3zctwRHqU7PN3d-gHJ8lEAmkAIz2wVhw-w485OY01-a1/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRGEu1HQewzepKqjUEixPglD57QIEIjkgh9kd2qiA7fr3FIHwcxTGhGFJWcIXwLXfvmGSb5YQL4syyvxUhD-emQ/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1biX-Q4FZdRdZjHBZnaI7zza*6H*P3YzNocMkKnBLQ7hULpUS66CUr4YmGabboF1FxJo*ag6JkNLSBhqZnCqvm/mahaba.jpg?width=650)
NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?
10 years ago
Vijimambo24 Oct
NINI CHA KUFANYA MUMEO ANAPOZAA NJE YA NDOA?-2
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNVAthZseULv6K6ni*fZ6pJQUbkQViWXUMBmq4ZZrdIJQfsd4MvfFF3QD-JA3G3b*l1Y4vvoSzc7RCmdvUt2gU6f/love.jpg?width=650)
Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu. Mada ambayo tulianza kuijadili wiki iliyopita, ilikuwa ni nini cha kufanya unapogundua kuwa mumeo amezaa mtoto nje ya ndoa.
Tuliangalia mfano wa dada yetu mmoja ambaye alieleza kisa chake jinsi mumewe alivyozaa mtoto nje ya ndoa kiasi cha kumfanya ashindwe cha kuamua. Maoni yalikuwa mengi mno, nikushukuru msomaji wangu uliyeshiriki kutoa maoni yako.
Nilichojifunza na ambacho nataka na wewe msomaji wangu, ambaye una tatizo kama hili...