Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunasubiri nini kuwamwaga watu wa aina hii?

Ukisikiliza vilio vya wasanii wengi nchini, iwe muziki au filamu, watakuambia ni wizi wa kazi zao unaofanywa na wajanja wachache kila kukicha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Unawaambia nini watu wanaodharau kazi za watu?

Kila binadamu ananjia zake za kutafuta ridhiki ili aweze kuishi na kupata mahitaji yake muhimu,kuna binadamu ambao wao hujiona ni bora kuliko wengine mpaka kufika hatua ya kuwadharau na kuwapuuza watu wa kipato cha chini,wanasahau kuwa maisha ni kutegemeana huyu asipofanya kazi ya kuuza mkaa yeye anaweza kushindwa kula sababu ili ale huenda mkaa ungesaidia kupika.huyu asipozibua vyoo kesho wewe utashindwa kutumia choo chako ulichokijenga kwa gharama kubwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Awapa Makavu Vijana wa Aina Hii

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Faiza Ally  ameonekana kuungwa mkono na wengi baada ya kuwatolea uvivu vijana wanaopenda mtelemko katika maisha na kufikia kufanywa vitendo visivyo faa.

“Vijana wa kiume wadogo wadogo wana danganya na wanaume wenzao - wanageuzwa kwa ajili ya ugumu wa maisha na tamaa - yarab stara kwa watoto wetu .....Habari za mji huu zina sikutisha sana - kumbe ndio maana siku hizi wanaume wanapenda mik*ndu uwiii tunaelekea wapiiiiii wenzangu ? mimi nasikitishwa natamani...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa aina hii mwisho wake lini?

Inashangaza. Kuna mambo tunaendelea kuyalea kila kukicha pamoja na kujua athari zake. Tunafahamu wazi, ili timu zetu zifanye vizuri kwenye mashindano, zinahitaji maandalizi mazuri yenye malengo.

 

10 years ago

Raia Mwema

Wabunge aina hii watoswe wasirejee kabisa bungeni

BUNGE la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limefikia tamati mapema mwezi Julai mwaka huu, hu

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo aina ya mwanamume anayempenda Lady Jaydee

Kwa muda mrefu kumekuwapo na minong’ono juu ya mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee kuachana na mume wake Gardner Habash ambaye ni mtangazaji wa redio E-Fm jambo ambalo halijawekwa wazi mpaka sasa na wawili hao.

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kutoka Hijja: Majuto hafanyi tena filamu za aina hii

Muigizaji na mchekeshaji maarufu nchini, Alhaj Athumani King Majuto, amesema baada ya kwenda kuhiji Mecca, atakuwa hafanyi tena filamu ambazo ndani yake kutakuwa na matendo ya kumchukiza Mungu. “Sasa hivi filamu kama za kunywa pombe au kuna matukio ya kumchukiza Mungu siwezi kufanya,” Majuto ameiambia Bongo5. “Lakini ambazo zitakuwa hazima matukio kama hayo nitaendelea kufanya. […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wolper Awakuna Wengi kwa ‘Style’ Hii ya Aina Yake

Staa wa Bongo Movies  ambaye anasifika kwa urembo na kazi zake, Jacqueline Wolper hivi juzi kati kwenye ukurasa wake  mtandaoni alibandika picha hizo hapo juu akiwa amevalia style ambayo iliwafanya mashabiki wengi bonyeze kitufe cha LIKE na kushusha comment nyingi huku kila mtu akielezea ni jinsi gani ameguswa na mtindo huo aliotupia.

Kwa maneno ya lugha yta malkia, Wolper aliandika “Fashion is just another accessory for someone with great style...” na kuweka picha hizo.

Japo wengi...

 

11 years ago

Mwananchi

Sonko; kiongozi mwenye haiba ya aina yake machoni mwa watu

Mike Sonko siyo jina geni kwa wafuatiliaji wa siasa za taifa la Kenya katika siku za hivi karibuni, kutokana na jina hili kutawala vyombo vya habari kila kukicha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani