Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee aitwa mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani, ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.

Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Janeth Kaluyenda, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee, wa tatu Renina Leafyagila na wa sita Sophia Fanuel hawajafika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

JK aitwa mahakamani kutoa ushahidi

Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa mashahidi wanaotarajiwa kuitwa na walalamikaji katika shauri dhidi ya nchi za Kenya, Uganda na Rwanda linaloendelea katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ).

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI SIMBA: Rage aitwa Mahakamani

Wakati Mahakama Kuu ikimuita mahakamani mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage na baraza lake la wadhamani, wagombea uongozi wa klabu hiyo jana walizindua kampeni zao, huku suala uwanja wake na rasilimali watu likichukua nafasi kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM kupinga matokeo ya Mdee, Mch. Msigwa mahakamani

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimelalamikia utaratibu wa ukusanya kura na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo, huku kikikusudia kukata rufaa mahakamani  kupinga matokeo ya Jimbo la  Mikumi, Kawe, Iringa Mjini na Ndanda.

 

10 years ago

GPL

ZARI AITWA KWAO

mwandishi wetu KIMENUKA! Baada ya madai kwamba mtoto Latifah ‘Tiffah’ si damu ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku shemeji wa zamani wa Zarinah Hassan ‘Zari’ (mama Tiffah), King Lawrence naye kusema mtoto huyo ni wake, kuna taarifa mpya zinazodai kuwa, Zari ameitwa kwao, Uganda ili akamalize ubishi juu ya suala hilo, Risasi Jumamosi limenasa mchapo kamili.....Soma...

 

10 years ago

GPL

Said Ndemla aitwa Ulaya

Kiungo wa Simba, Said Ndemla. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
MAWAKALA zaidi ya watano wamejitokeza kwa Klabu ya Simba na kuomba kumchukua kiungo wa klabu hiyo, Said Ndemla kwenda kufanya majaribio katika moja za timu za nje, hasa barani Ulaya.
Ikiwa mipango hiyo itakubalika na kwenda inavyotakiwa, maana yake ni kuwa itakuwa mara yake ya kwanza. Awali, kulitolewa taarifa kuwa, wachezaji wengine wa klabu hiyo, Ramadhani...

 

10 years ago

CloudsFM

IDRISS AITWA IKULU

Mshindi wa dola 300,000 za shindano la Bigbrother zaidi ya milioni 500 za Kitanzania,Idriss Sultan ameitwa na ofisi ya rais ikulu kukutana na rais Jakaya Kikwete mchana huu kwa ajili ya mazungumzo maalum na rais.

Idriss akaona hawezi kwenda yeye kama yeye, akataka aingie white house na watanzania, ili tumuulize rais wetu dukuduku lolote,ambapo jana usiku aliweka hashtag kwenye account yake ya twitter, #idrisstellmrpresident na ukimwandikia idriss, yeye ataenda kuliwakilisha kwa rais.

 

11 years ago

GPL

MSANII BONGO AITWA NA MAKHIRIKHIRI

Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI anayetamba na nyimbo za Kisafwa zenye asili ya Mkoa wa Mbeya, Salma Omary ‘Sister Das’ hivi karibuni alipata mwaliko wa kwenda nchini Botswana kukutana na wasanii wa kundi la Makhirikhiri linaloongozwa na Shumba Ratshega. Salma Omary ‘Sister Das’. Akiwa nchini humo, Sister Das alifanya mazungumzo na wasanii wa kundi hilo kuhusu namna ya kuuinua muziki wa asili ikiwa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila aitwa kwa CAG

SIKU moja baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) kutoa ushahidi wake kuhusu tuhuma za wizi katika akaunti ya Tegeta Escrow kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na...

 

11 years ago

GPL

JINI KABULA AITWA CHINA KUJIUZA

Na Nyemo Chilongani STAA wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa amekuwa akipigiwa simu na mtu asiyemfahamu na kumtaka akafanye biashara ya kujiuza ‘ukahaba’ nchini China. Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’. Akizungumza na paparazi wetu, Jini Kabula alisema katika maisha yake anaamini maisha mazuri hata Bongo yanapatikana hivyo licha ya kutangaziwa dau la maana lakini amekataa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani