Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IDRISS AITWA IKULU

Mshindi wa dola 300,000 za shindano la Bigbrother zaidi ya milioni 500 za Kitanzania,Idriss Sultan ameitwa na ofisi ya rais ikulu kukutana na rais Jakaya Kikwete mchana huu kwa ajili ya mazungumzo maalum na rais.

Idriss akaona hawezi kwenda yeye kama yeye, akataka aingie white house na watanzania, ili tumuulize rais wetu dukuduku lolote,ambapo jana usiku aliweka hashtag kwenye account yake ya twitter, #idrisstellmrpresident na ukimwandikia idriss, yeye ataenda kuliwakilisha kwa rais.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

WEMA, IDRISS, WAONESHANA MAHABA LIVE IKULU

Richard bukos MASTAA wa Bongo, Idriss Sultan na Wema Sepetu, Alhamisi iliyopita walikuwa kwenye Ikulu ya Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wakionesha mahaba yao hadharani. Mastaa wa Bongo, Idriss Sultan na Wema Sepetu wakikumbatiana. Mastaa hao ambao mara kadhaa wamekuwa wakikanusha vikali kuwa na uhusiano wa kujifunika shuka moja lakini mapozi yao ndiyo yalisababisha wawe gumzo...

 

10 years ago

GPL

IDRISS WA BBA: NAANZA KUISHIWA!

Brighton Masalu MSHINDI wa Big Brother Hotshots 2014, Idriss Sultan amesema licha ya kupata fedha nyingi aliposhinda, lakini hivi sasa anaanza kuishiwa hivyo analazimika kuwa na nidhamu juu ya matumizi yake ya fedha. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1J3bI4e

 

10 years ago

BBCSwahili

Idriss wa Bigbrother aanika mipango yake

Je ukiwa kijana mwenye umri mdogo na umepata dola laki tatu za Marekani, utazifanyia nini? je zitabadili mfumo wako wa maisha?

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Ya Lulu Na Idriss Yazua Mjadala

Ikiwa ni takribani siku Nne sasa tangu mtanzania, Idris Sultan kuibuka mshind kwenye shindao la Big Brother Africa (BBA ) hotshots 2014, na kunyakua kiasi cha zaidi ya milioni 500. Kama ilivyokuwa kwa watanzania wengi kumuunga mkono kuanzia kwenye kumuombea kura hadi kumpongeza aliposhinda, hali ilikuwa tofauti pale mwanadada  Elizabeth Michael aka Lulu ambe ni muigizaji maarufu wa filamu, alipompongeza  kwakuwepa picha  akiwa na mshiriki huyo na kumpongeza kwa kuandika  “He did...

 

10 years ago

CloudsFM

MSHINDI WA BBA IDRISS SULTAN AKIWA LIVE KWENYE XXL

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa''BBA'',Idriss Sultan akisalimia na mtangazaji wa kipindi cha xxl cha Clouds Fm,B Dozen wakati akizungumzia ushindi wake.Idriss akiwa na msanii John Makini...PICHA ZAIDI ZINAKUJA..

 

10 years ago

CloudsFM

IDRISS AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO KILIMANJARO HOTEL KEMPINSKI

Mshindi wa shindano la Big Brother Afrika,Idriss Sultan akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu ushindi alioupata kwenye shindano hilo wikiend iliyopita nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

Vijimambo

Mdee aitwa mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani, ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.

Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Janeth Kaluyenda, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee, wa tatu Renina Leafyagila na wa sita Sophia Fanuel hawajafika...

 

9 years ago

GPL

ZARI AITWA KWAO

mwandishi wetu KIMENUKA! Baada ya madai kwamba mtoto Latifah ‘Tiffah’ si damu ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku shemeji wa zamani wa Zarinah Hassan ‘Zari’ (mama Tiffah), King Lawrence naye kusema mtoto huyo ni wake, kuna taarifa mpya zinazodai kuwa, Zari ameitwa kwao, Uganda ili akamalize ubishi juu ya suala hilo, Risasi Jumamosi limenasa mchapo kamili.....Soma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani