Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idriss wa Bigbrother aanika mipango yake

Je ukiwa kijana mwenye umri mdogo na umepata dola laki tatu za Marekani, utazifanyia nini? je zitabadili mfumo wako wa maisha?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWASITI AANIKA MAISHA YAKE!

Stori: Musa Mateja
MKONGWE katika gemu la muziki wa Bongo Fleva, Mwasiti Almas amefunguka ‘exclusive’ kuhusiana na maisha yake kwa jumla ambapo kwenye masuala ya uhusiano amebainisha kuwa alimjua mwanaume mara baada ya kumaliza kidato cha nne. Mwasiti Almas. Alisema alijitunza sana akiwa shule ya msingi, akaendelea hivyo hadi alipomaliza masomo ya sekondari ndipo alipolegeza uzi na kujikuta ameanza kuvunja amri...

 

9 years ago

Mtanzania

Ney wa Mitego aanika jeuri yake

nnNA SHARIFA MMASI

MSANII wa muziki wa hip hop, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema wazazi wake walimfundisha heshima si kumuogopa mtu.

Ney alidai familia yake imemfunza nidhamu ya heshima na kuwa muwazi kwa anachoamini si sawa kwa jamii inayomzunguka.

“Ni kweli mimi nina jeuri ambayo watu wengi inawakera, lakini hawajui kwa nini niko hivyo, jeuri yangu huwa naifanya inapobidi na inatokana na mafunzo niliyofunzwa kutoka kwa wazazi wangu,’’ alisema Ney wa...

 

10 years ago

GPL

JOKATE AANIKA MAPENZI YAKE KWA JANUARI, ZITTO NA MILLARD

Leo kwenye safu hii tunaye mwanadada ambaye anaendesha maisha yake kwa kazi mbalimbali zikiwemo uigizaji, muziki, uanamitindo, ujasiriamali na utangazaji. Miss Tanzania namba 2, 2006, Jokate Mwegelo akipozi. Huyu ni Jokate Mwegelo ambaye ni Miss Tanzania namba 2, 2006. Wiki hii yuko hapa kujibu maswali 10 ambayo mwandishi wetu Hamida Hassan alimuuliza na akatoa ushirikiano katika kuyajibu. Ijumaa: Kuna madai kwamba sasa hivi...

 

11 years ago

CloudsFM

NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE

First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.

Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...

 

9 years ago

Global Publishers

Wiz Kid naye aanika saa yake ya almasi… icheki hapa!

Rolex-Wizkid

Lagos, Nigeria

MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Wiz Kid, leo ameionyesha saa yake ya almasi, kwenye mtandao wa Instragram.

WizkidWiz Kid

Picha ya saa hiyo aina ya Rolex ilikwenda sambamba na maneno “Frosted!!! @josephfrostoflondon!!” aliyoyaandika kwenye mtandao huo.

wiz (1)
Joseph Frost ni muuza vito mashuhuri jijini London, Uingereza, ambapo miongoni mwa wateja wake maarufu ni mcheza soka wa Togo Emmanuel Adebayor, na wanamasumbwi Amir Khan na David Haye.

wiz (2)Hivi majuzi mwanamnuziki huyo alifyatua ‘remix’...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yaeleza mipango yake ya kuendeleza Jotoardhi

 Wajumbe wa Kamati ya Watoa Maamuzi Kamati ya Watoa Maamuzi ya nchi zilizo katika Bonde la Ufa katika kongamano la Tano la Kimataifa la Jotoardhi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho.  Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Watoa Maamuzi wa nchi zilizo katika Bonde la Ufa wakijadiliano jambo wakati wa kikao cha wajumbe hao kujadilia masuala mbalimbali kuhusu utekelezaji wa Jotoardhi kwa nchi wananchama.  Baadhi wa Wajumbe wa Kamati ya Watoa Maamuzi wan chi zilizo...

 

10 years ago

Michuzi

BOHARI YA DAWA (MSD) YAELEZEA MIPANGO YAKE YA KAZI

 Kaimu Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja na Shughuli za Kanda wa Bohari ya Dawa (MSD),  Edward Terry (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ukumbi wa Idara Habari Maelezo jijini Dar es Salaam mipango ya MSD na mambo mengine. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa MSD, Etty Kusiluka. Etty Kusiluka akitoa ufafanuzi wa masuala kadhaa. Mkutano na wanahabari ukiendelea.
Dotto Mwaibale
WASIMAMIZI  wa vituo vya afya, zahanati, hospitali za wilaya, mkoa na hospitali za rufaaa wametakiwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania:Idris mshindi Bigbrother 2014

Mtanzania, Idris Sultan ameibuka mshindi wa mashindano ya Bigbrother yaliyofanyika Afrika kusini

 

10 years ago

GPL

BOHARI YA DAWA (MSD) YAELEZEA MIPANGO YAKE YA KAZI‏

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja na Shughuli za Kanda wa Bohari ya Dawa (MSD),  Edward Terry (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ukumbi wa Idara Habari Maelezo jijini Dar es Salaam mipango ya MSD na mambo mengine. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa MSD, Etty Kusiluka. Etty Kusiluka akitoa ufafanuzi wa masuala kadhaa. Mkutano na wanahabari ukiendelea.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani