Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wiz Kid naye aanika saa yake ya almasi… icheki hapa!

Rolex-Wizkid

Lagos, Nigeria

MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Wiz Kid, leo ameionyesha saa yake ya almasi, kwenye mtandao wa Instragram.

WizkidWiz Kid

Picha ya saa hiyo aina ya Rolex ilikwenda sambamba na maneno “Frosted!!! @josephfrostoflondon!!” aliyoyaandika kwenye mtandao huo.

wiz (1)
Joseph Frost ni muuza vito mashuhuri jijini London, Uingereza, ambapo miongoni mwa wateja wake maarufu ni mcheza soka wa Togo Emmanuel Adebayor, na wanamasumbwi Amir Khan na David Haye.

wiz (2)Hivi majuzi mwanamnuziki huyo alifyatua ‘remix’...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

From scary Halloween to Wiz Kid in Dar

The announcement had been on for a while and it was one of the most trending events that many were looking forward to worldwide from Florida to Dar es Salaam, it was Halloween mood.

 

10 years ago

Mwananchi

Christian Bella awatamani Fally Ipupa, P Square, Wiz Kid

Siku tano tangu kutolewa kwa tuzo za Kilimanjaro KTMA, mteuliwa wa tuzo hizo na mwimbaji wa muziki wa dansi, Christian Bella amesema kuwa ndoto yake kwa sasa ni kurekodi muziki kwa kushirikiana na mwanamuziki nyota, Chris Brown.

 

9 years ago

MillardAyo

List ya wachezaji 10 bora wa Marca 2015 imetoka, Cristiano Ronaldo amekuwa wa tatu kutoka mwisho, icheki hapa …

Mwaka 2015 ni umekuwa ni mwaka wa mafanikio kwa klabu ya FC Barcelona ya Hispania kwani imefanikiwa kutwaa mataji matano, FC Barcelona ambayo inatajwa kuwa ni timu namba moja kwa ubora duniani, kwa mwaka 2015 imefanikiwa kutwaa mataji ya Copa del Rey, European Super Cup, La Liga, Ligi ya Mabingwa Ulaya na Klabu Bingwa Dunia, wachezaji wake sita […]

The post List ya wachezaji 10 bora wa Marca 2015 imetoka, Cristiano Ronaldo amekuwa wa tatu kutoka mwisho, icheki hapa … appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Wiz Khalifa atoa mixtape mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa!

wizwizi1

Staa wa muziki wa Hip Hop Marekani, Wiz Khalifa ameachia mixtape yake mpya ‘Cabin Fever 3’ na kutimiza ahadi kwa mashabiki wake.

wizwizi1

Rapper huyo anatarajia kuachia album yake ijayo, Rolling Papers 2 mwakani, 2016.

Cabin Fever 3 ina nyimbo 11 na huu ni muendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2012, Cabin Fever 2.

Kwenye Cabin Fever 3 amewashirikisha wasanii kama Juicy J, K Camp, Kevin Gates, Curren$y, Problem, Chevy Woods na King Los. Producers waliosaidia kukamilisha project hii ni pamoja na TM88,...

 

11 years ago

GPL

MWASITI AANIKA MAISHA YAKE!

Stori: Musa Mateja
MKONGWE katika gemu la muziki wa Bongo Fleva, Mwasiti Almas amefunguka ‘exclusive’ kuhusiana na maisha yake kwa jumla ambapo kwenye masuala ya uhusiano amebainisha kuwa alimjua mwanaume mara baada ya kumaliza kidato cha nne. Mwasiti Almas. Alisema alijitunza sana akiwa shule ya msingi, akaendelea hivyo hadi alipomaliza masomo ya sekondari ndipo alipolegeza uzi na kujikuta ameanza kuvunja amri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani