Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWASITI AANIKA MAISHA YAKE!

Stori: Musa Mateja
MKONGWE katika gemu la muziki wa Bongo Fleva, Mwasiti Almas amefunguka ‘exclusive’ kuhusiana na maisha yake kwa jumla ambapo kwenye masuala ya uhusiano amebainisha kuwa alimjua mwanaume mara baada ya kumaliza kidato cha nne. Mwasiti Almas. Alisema alijitunza sana akiwa shule ya msingi, akaendelea hivyo hadi alipomaliza masomo ya sekondari ndipo alipolegeza uzi na kujikuta ameanza kuvunja amri...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Idriss wa Bigbrother aanika mipango yake

Je ukiwa kijana mwenye umri mdogo na umepata dola laki tatu za Marekani, utazifanyia nini? je zitabadili mfumo wako wa maisha?

 

9 years ago

Mtanzania

Ney wa Mitego aanika jeuri yake

nnNA SHARIFA MMASI

MSANII wa muziki wa hip hop, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema wazazi wake walimfundisha heshima si kumuogopa mtu.

Ney alidai familia yake imemfunza nidhamu ya heshima na kuwa muwazi kwa anachoamini si sawa kwa jamii inayomzunguka.

“Ni kweli mimi nina jeuri ambayo watu wengi inawakera, lakini hawajui kwa nini niko hivyo, jeuri yangu huwa naifanya inapobidi na inatokana na mafunzo niliyofunzwa kutoka kwa wazazi wangu,’’ alisema Ney wa...

 

10 years ago

GPL

JOKATE AANIKA MAPENZI YAKE KWA JANUARI, ZITTO NA MILLARD

Leo kwenye safu hii tunaye mwanadada ambaye anaendesha maisha yake kwa kazi mbalimbali zikiwemo uigizaji, muziki, uanamitindo, ujasiriamali na utangazaji. Miss Tanzania namba 2, 2006, Jokate Mwegelo akipozi. Huyu ni Jokate Mwegelo ambaye ni Miss Tanzania namba 2, 2006. Wiki hii yuko hapa kujibu maswali 10 ambayo mwandishi wetu Hamida Hassan alimuuliza na akatoa ushirikiano katika kuyajibu. Ijumaa: Kuna madai kwamba sasa hivi...

 

11 years ago

CloudsFM

NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE

First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.

Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...

 

9 years ago

Global Publishers

Wiz Kid naye aanika saa yake ya almasi… icheki hapa!

Rolex-Wizkid

Lagos, Nigeria

MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Wiz Kid, leo ameionyesha saa yake ya almasi, kwenye mtandao wa Instragram.

WizkidWiz Kid

Picha ya saa hiyo aina ya Rolex ilikwenda sambamba na maneno “Frosted!!! @josephfrostoflondon!!” aliyoyaandika kwenye mtandao huo.

wiz (1)
Joseph Frost ni muuza vito mashuhuri jijini London, Uingereza, ambapo miongoni mwa wateja wake maarufu ni mcheza soka wa Togo Emmanuel Adebayor, na wanamasumbwi Amir Khan na David Haye.

wiz (2)Hivi majuzi mwanamnuziki huyo alifyatua ‘remix’...

 

5 years ago

BBCSwahili

"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake

Simulizi ya mtoto mwenye ugonjwa adimu duniani ambaye siku ngingi anajipata kuwa hspitali zaidi ya nyumbani tena chumba cha wagonjw amahutui (ICU)

 

11 years ago

Mwananchi

Celyne; maisha yake ni tamthilia

Kwa wafuatiliaji wa Tamthilia ya Her Mothers Daughter inayoendelea kurushwa kupitia Kituo cha Star Tv, jina la Celyne siyo geni masikioni mwao.

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya Kuyaanika Maisha Yake Hivi Karibuni

Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya amesema anajiandaa kuweka wazi historia yake ya maisha maana kuna watu wanapotosha mashabiki wake kwa taarifa za uongo ambazo hazina uhusiano na maisha yake halisi.

Uwoya amesema atafanya hivyo kwa kuwa anataka mashabiki wake waelewe maisha yake halisi na wawapuuze wanaompakazia kwa historia za ajabu zenye lengo la kumchafua na kumrudisha nyuma katika kazi zake na uhusiano wake wa kimapenzi.

“Nitayaanika maisha yangu halisi ili wote wanielewe vema na...

 

9 years ago

Bongo5

MB Dog kuja na documentary ya maisha yake ya muziki

MB Dog amesema anajipanga kuachia documendary itakayokuwa inazungumzia maisha yake ya muziki. Muimbaji huyo aliyewahi kuhit na ngoma kama ‘Latifa’ na ‘Si Uliniambia’ amesema ameamua kuachia documentary hiyo baada ya kuona mashabiki wanahitaji. “Awali kidogo Desso alifanya kama movie yake fulani hivi kwahiyo alifanya kama kunishirikisha ‘bwana njoo unipe support’, sasa kile kitu kikawa kimeniletea […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani