MKURUGENZI MKUU MPYA WA MSD BRIG. JEN MHIDIZE AWASILI OFISINI
Mkurugenzi Mkuu mpya wa MSD Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize amepokelewa ofisini kwake, Keko Dar es Salaam na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa MSD Bw. Laurean Bwanakunu.
Aidha Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize, amekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Bohari ya Dawa (MSD).
Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize aliteuliwa tarehe 3 may,2020 na Rais John Magufuli kushika nafasi hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ewGCFiR_-IQ/Xq76WbEtmhI/AAAAAAALo9c/LG5-jCRsrnICBfKOLVd6tgh-XyeRzFYnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1...-2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ofYiqu1aRNs/Xq7vqN20XWI/AAAAAAAC4cc/4a5z3gVQdxwMkjJMhz6AfRisEKyjE__2ACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI MPYA WA MKURUGENZI MKUU WA BOHARI YA DAWA (MSD)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ofYiqu1aRNs/Xq7vqN20XWI/AAAAAAAC4cc/4a5z3gVQdxwMkjJMhz6AfRisEKyjE__2ACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Uteuzi wa Brig. Jen Dkt. Mhidize unaanza mara moja, leo tarehe 03 Mei, 2020.
Kabla ya uteuzi huo, Brig. Jen Dkt. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Brig. Jen Dkt. Mhidize anachukua nafasi ya Bw. Laurean Rugambwa Bwanakunu ambaye...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mpigania ukombozi wa Afrika Brig Jen Mbita afariki dunia
Katibu mtendaji wa iliyokuwa Kamati ya Ukombozi Kusini mwa Afrika, Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82), amefariki dunia jana saa tatu asubuhi katika Hospitali ya Jeshi, Lugalo, Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziViongozi mbalimbali nchini Msumbiji wamkumbuka Brig. Jen. Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-v6ux9QaHF0o/VUPH8C6zIqI/AAAAAAAHUgU/kvvGhIOOrI4/s1600/Untitled11.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iyF0GhNdXRY/VUPH8CrpObI/AAAAAAAHUgY/qH6NrhM2eac/s1600/Untitled111.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ewGCFiR_-IQ/Xq76WbEtmhI/AAAAAAALo9c/LG5-jCRsrnICBfKOLVd6tgh-XyeRzFYnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1...-2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmh0C6-ZHYE/U4bXzGd5qDI/AAAAAAAFmE4/yYu3ppcRY5A/s72-c/20140527_113139.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Amtembelea Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Ofisini kwake
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmh0C6-ZHYE/U4bXzGd5qDI/AAAAAAAFmE4/yYu3ppcRY5A/s1600/20140527_113139.jpg)
Mazungumzo yao yalihusu maandalizi ya kongamano la uwekezaji katika sekta ya nyumba litakalofanyika Jumeirah Madnat Hotel, Dubai. Kongamano hilo limeandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai kwa kushirikiana na Shirika la Taifa la Nyumba (NHC).
Makampuni makubwa ya sekta ya nyumba hapa Dubai...
10 years ago
Michuzi17 Dec
NAIBU MKURUGENZI MKUU WA UNESCO AWASILI JIJINI ARUSHA KUSHIRIKI MAHAFALI TAASISI YA MANDELA
![DSC_0499](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_04991.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rXIhNLd6uuM/Vos4k_I-x0I/AAAAAAAIQXM/5zuBKs6Modo/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU MPYA ARDHI AKARIBISHWA RASMI OFISINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rXIhNLd6uuM/Vos4k_I-x0I/AAAAAAAIQXM/5zuBKs6Modo/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya TCRA Dkt.Ally Yahaya Simba amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gIVlifSpd8I/VafklLcnB8I/AAAAAAAHqHk/5DuUpv4LC2U/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania