JPM ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI MKUU WA MSD
![](https://1.bp.blogspot.com/-ewGCFiR_-IQ/Xq76WbEtmhI/AAAAAAALo9c/LG5-jCRsrnICBfKOLVd6tgh-XyeRzFYnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1...-2.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ewGCFiR_-IQ/Xq76WbEtmhI/AAAAAAALo9c/LG5-jCRsrnICBfKOLVd6tgh-XyeRzFYnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1...-2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Qai9_5MY22I/VnF1kkCloKI/AAAAAAAIM3U/WzUj5xTuYls/s72-c/20151216062812.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Rais Dkt. Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt. Edward Hoseah
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dkt. Edward Hoseah (pichani) kutokana na kutorishwa na namna taasisi hiyo ilivyokua ikitekeleza wajibu wake katika kukabiliana na rushwa hususani kwenye upotevu wa mapato ya serikali katika bandari ya Dar es salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kufuatia kutenguliwa kwa uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua aliyekuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ofYiqu1aRNs/Xq7vqN20XWI/AAAAAAAC4cc/4a5z3gVQdxwMkjJMhz6AfRisEKyjE__2ACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI MPYA WA MKURUGENZI MKUU WA BOHARI YA DAWA (MSD)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ofYiqu1aRNs/Xq7vqN20XWI/AAAAAAAC4cc/4a5z3gVQdxwMkjJMhz6AfRisEKyjE__2ACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Uteuzi wa Brig. Jen Dkt. Mhidize unaanza mara moja, leo tarehe 03 Mei, 2020.
Kabla ya uteuzi huo, Brig. Jen Dkt. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Brig. Jen Dkt. Mhidize anachukua nafasi ya Bw. Laurean Rugambwa Bwanakunu ambaye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkrARHvgfeU/XtfkdeLBeCI/AAAAAAALsig/kxvC5meI7pMzeBo3XF089lWN6lIwPWo-gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B20.55.36.png)
9 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ......: RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI, AVUNJA BODI YA MAMLAKA YA BANDARI (TPA) LEO
Kuvunjwa kwa bodi hiyo kunatokana na utendaji mbovu wa Mamlaka hiyo kwa muda mrefu na kitendo cha kutokuchukua hatua katika vyanzo husika.
Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU MPYA WA MSD BRIG. JEN MHIDIZE AWASILI OFISINI
Mkurugenzi Mkuu mpya wa MSD Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize amepokelewa ofisini kwake, Keko Dar es Salaam na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa MSD Bw. Laurean Bwanakunu.
Aidha Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize, amekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Bohari ya Dawa (MSD).
Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize aliteuliwa tarehe 3 may,2020 na Rais John Magufuli kushika nafasi hiyo.
11 years ago
Habarileo21 Dec
JK atengua uteuzi Mawaziri wanne
RAIS Jakaya Kikwete, ametengua uteuzi wa Mawaziri wanne, akikubaliana na kilio cha Wabunge cha kuwawajibisha mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dk. Hoseah