MWENYE PICHA NA KOMBA AIBUKA

Stori: Mwandishi Wetu SIKU chache zimekatika baada ya tukio la kusambaa mitandaoni kwa picha tata zenye pozi kati ya mheshimiwa Komba na mrembo aliyejulikana kwa jina moja la Angel. Angel Kissanga, mkazi wa Kinondoni jijini Dar anayedaiwa kupiga picha tata na mheshimiwa Komba. Hatimaye mrembo huyo ameibuka na kuanika mambo mazito kama si makubwa, Risasi Mchanganyiko linakudadavulia. Awali katika gazeti hili toleo la Jumamosi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
SAKATA LA MGAGA WA DIAMOND: MKE WA MWENYE GARI LILILOIBWA AIBUKA, AFUNGUKA
10 years ago
MichuziAfande Prisca Komba atwaa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania 2014
Wengine waliopata tuzo mbalimbali ni pamoja na Debora Mwenda, aliyepata tuzo ya Mwanamke mwenye mafanikio ya maisha, Penina Mlama, alipata tuzo ya Utamaduni na Sanaa, Mary Gitanho, Tuzo ya Ustawi wa Jamii.
...
11 years ago
Bongo503 Oct
Picha:Maisara aibuka mshindi wa Serengeti Super Diva Singida
11 years ago
Bongo507 Sep
Picha: Amina Issa aibuka Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Picha: Lucy Komba Awarambisha Watu Ndimu.....
Vijimambo: Mwigizaji wa filamu na mrembo mwenye kujivunia rangi yake, Lucy Komba ambae kwasasa anaishi Ulaya pamoja na mumewe Janus, usiku wa jana alibandika picha hizi mtandaoni akiwa anadendeka na mumewe wakiwa sehemu ya wazi na kuandika maneno ambayo bila shaka walengwa wamemuelewa.
“Zisikutishe kelele za mende wakati kunguru akikuona anakukimbia kwa woga”-Lucy aliandika.
Wadada wa town wanakwambia kwa picha hizi bidada amemaliza,watu wasiowapenda na kuleta figisu figisu lazima watafute...
10 years ago
Bongo Movies07 Jul
Lucy Komba Awashukia Walioiponda Picha Hii
Staa wa Bongo Movies alieamishia makazi ughaibuni, Lucy Komba ambaye ameolewa na ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu walioishambulia picha yake hiyo hapo juu aliyoiweka kwenye ukurasa wake mtandaoni.
Lucy alianza kwa kuweka picha hiyo ya kuchora ambayo ndiyo ilileta utata na kuibua majibizano ya maneno kati ya watu ambao waliona kuwa picha hiyo haina shida na wengine wengi wakisema picha hiyo haina maadili na ukizingatia yeye ni mke wa mtu.
“Mshamba anataka attention...
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Picha: Lucy Komba ‘Ameshea’ nasi hizi za Zamani
Staa mrembo kutoka Bongo Movies ambae kwasasa ameamishia makzi yake huko ughaibuni, Lucy Komba kupitia ukursa wake mtandaoni amebandika picha hizi kama TBT zake kwa siku ya leo.
Tofauti na mastaa wengi wa kike ambao wengi wao wejikita kwenye kuamini mikorogo, wengi wamempongeza staa huyu kwa kuweza kuitunza ngozi yake ya asili.
Jionee picha hizo hapo juu
10 years ago
Bongo507 Nov
Video: Ex wa Desire Luzinda aliyevujisha picha zake za utupu aibuka na kuzungumiza kilichomfanya avujishe
11 years ago
Bongo Movies09 Sep
Mwigizaji mkongwe nchini Lucy Komba afunga ndoa. Tazama picha za harusi
Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika
"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku...