Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa, CCM mambo mazito

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, akiongoazana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, January Makamba (kushoto), nje ya Hotel ya Sea Cliff wanapofanya kikao pamoja na wajumbe wa Ukawa. Picha ndogo ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, akiwahi katika kikao hicho jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, akiongoazana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, January Makamba (kushoto), nje ya Hotel ya Sea Cliff wanapofanya kikao pamoja na wajumbe wa Ukawa. Picha ndogo ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, akiwahi katika kikao hicho jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix.

Na Patricia Kimelemeta

KIKAO cha kutafuta maridhiano kuhusu mchakato wa Katiba mpya kilichofanyika jana baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM itang’oka kwa mambo haya - Ukawa

Arusha. Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umetaja majukumu makuu matano yanayopaswa kutekelezwa na Watanzania wenye mapenzi mema kuelekea Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo matatu yanayoipa CCM nguvu dhidi ya UKAWA

Wakati Taifa likielekea katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu, ushindani wa wazi wa kisiasa kati ya chama tawala (CCM) na vyama vya upinzani kupitia Ukawa unaonekana bayana.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mambo mazito



Serikali yasema misamaha ya kodi imetosha CAG kuchunguza iliyoingiwa na wawekezaji Kodi ya PAYEE, ukomo wa mikweche palepale
SERIKALI imesema haitapunguza zaidi kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi (PAYE) kwa sasa kutokana na ongezeko la mishahara lililofanywa kwa wafanyakazi wa sekta ya umma hivi karibuni.

Aidha serikali imesema umri wa magari yatakayoruhusiwa kisheria kuingizwa nchini utaendelea kuwa miaka minane badala ya 10 kama ilivyopendekezwa kwenye bajeti ya serikali.
Msimamo huo...

 

10 years ago

GPL

HALIMA MDEE ASIMULIA MAMBO 5 MAZITO YA SEGEREA

Stori: Makongoro Oging’
MBUNGE wa Jimbo la Kawe jijini Dar na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Halima James Mdee ambaye aliwekwa Mahabusu ya Gereza la Segerea, Dar kwa saa kumi na mbili amesimulia mambo matano mazito aliyokumbana nayo hali iliyomfanya atokwe machozi. Mbunge wa Jimbo la Kawe jijini Dar na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Aliyejilipua kwa risasi aibua mambo mazito


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SAKATA la Mkurugenzi wa Kampuni ya Kitalii ya DAGT, Timoth Mroki, kujiua kwa kujilipua kwa risasi, limeibua mambo mapya kutokana na kuelezwa kuwa wivu wa kimapenzi.
Habari zilizopatikana jijini hapa, zinasema kuwa Mroki (36), alikuwa na vimada wawili ambao ni wake za watu na kuwa kabla ya kujilipua kwa risasi na kupoteza maisha, alitoa taarifa kwa wanawake hao (majina yanahifadhiwa).
Imeelezwa kuwa Mroki alikuwa akitoka na wanawake hao kila mmoja kwa muda wake, lakini...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Lulu Funguka Mambo Mazito Kuhusu Mwanaye!

Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!

Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili...

 

10 years ago

Vijimambo

Dr. Slaa ameibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema mambo mazito kuhusu Lowassa.

Jitiririshe hapa chini alichotwitter Dr Slaa juu ya yote yanayoendelea Ukawa.

 

10 years ago

Mtanzania

Urais CCM wafukua mazito

picNa Waandishi wetu

IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotangaza nia ya kuwania urais imezidi kuongezeka, huku kila mmoja akifukua mambo mazito.
Hatua hiyo, imekuja baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani jana kutangaza rasmi kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
Makada hao, wanaungana na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Kilimo, Chakula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani