Urais CCM wafukua mazito
Na Waandishi wetu
IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotangaza nia ya kuwania urais imezidi kuongezeka, huku kila mmoja akifukua mambo mazito.
Hatua hiyo, imekuja baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani jana kutangaza rasmi kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
Makada hao, wanaungana na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Kilimo, Chakula...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAO0RG3bhRCKrl9IZQ*utvbk0uZQ9ZEY5WeKa-XfksfXvgY3HuT10hbZo*3-xXbPUvcuku1lfYgsf2s6O*CinPs/sumaye.jpg?width=650)
URAIS CCM WAFUFUA MAZITO
10 years ago
Vijimambo30 Jul
Mwandosya aibua mazito urais CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mwandosya-30july2015.jpg)
Prof. Mwandosya ambaye ni Mbunge wa Rungwe Mashariki amenukuliwa akisema hayo kwenye sauti yenye maelezo yake iliyorekodiwa na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Sumaye aibua mazito CCM
Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa uliyofanyika Manyoni, Singida juzi. Na Thobias Mwanakatwe 13th September 2015 Kipindi cha utawala wa CCM […]
The post Sumaye aibua mazito CCM appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Ukawa, CCM mambo mazito
![Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, akiongoazana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, January Makamba (kushoto), nje ya Hotel ya Sea Cliff wanapofanya kikao pamoja na wajumbe wa Ukawa. Picha ndogo ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, akiwahi katika kikao hicho jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mtanzania-020814.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, akiongoazana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, January Makamba (kushoto), nje ya Hotel ya Sea Cliff wanapofanya kikao pamoja na wajumbe wa Ukawa. Picha ndogo ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, akiwahi katika kikao hicho jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix.
Na Patricia Kimelemeta
KIKAO cha kutafuta maridhiano kuhusu mchakato wa Katiba mpya kilichofanyika jana baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDOZnkcZ8APgmjwCZZQIqFO1asZZwmf7Fe58fKgl*zvDt75weKTwZTJSnCAsPaI07HhdovvC7xWr9XNUgH6nwL84/mwanza.jpg?width=650)
MAZITO YAIBUKA KIFO CHA KIGOGO CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKllH-rrmy149rcTTu*QhqfL2OjnXhFZhgsGUGU4wZuq5upE82VfZ4MCBjIh0JB0-fWtT7mLMYz80n9k0AtV*QPj/Kaburi.jpg)
WAFUKUA KABURI, WAMVUA MAITI SUTI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eiHrRFdFhok/XlLBd6JqTSI/AAAAAAAAf08/CQeAjYCVYwoszqgIMceN74GbBdKpha6agCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ONGEZEKO LA SANGARA ZIWA VICTORIA LAISHTUA CCM,YATOA MAAGIZO MAZITO
![](https://1.bp.blogspot.com/-eiHrRFdFhok/XlLBd6JqTSI/AAAAAAAAf08/CQeAjYCVYwoszqgIMceN74GbBdKpha6agCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Wafukua kaburi kusaka dhahabu, simu, fedha
NA GUSTAPHU HAULE, KIBAHA
WATU wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamebomoa kaburi la Napegwa Kishaluli (75) mkazi wa Mailimoja Kibaha mkoani Pwani aliyezikwa Aprili 20 mwaka huu na kumvua nguo zote pamoja na kuchukua mikoba aliyokuwa amezikwa nayo.
Tukio hilo lilitokea Aprili 24 mwaka huu katika Kata ya Tangini jirani na soko la Loliondo ambako baada ya mazishi kaburi hilo liliwekewa mlinzi kwa muda wa wiki moja.
Mkataba wa mlinzi huyo ulipomalizika aliondoka na siku iliyofuata kaburi hilo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...