ONGEZEKO LA SANGARA ZIWA VICTORIA LAISHTUA CCM,YATOA MAAGIZO MAZITO
![](https://1.bp.blogspot.com/-eiHrRFdFhok/XlLBd6JqTSI/AAAAAAAAf08/CQeAjYCVYwoszqgIMceN74GbBdKpha6agCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Katibu wa CCM Mkoa wa Simiyu, Haula Kachwamba akibeba samaki aina ya sangara mwenye urefu wa sentimita 90 akiwa na uzito wa kilo 15 baada ya kutembelea Mwalo wa Nyamikoma Busega Simiyu na kushangazwa na mafanikio ya Serikali ya kudhibiti uvuvi haramu
KATIBU wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Haula Kachwamba akikagua zana haramu zilizokamatwa katika Mwalo wa Nyamikoma wilayani Busega mkoani Simiyu wakati wa ziara ya Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Mkoa Simiyu kukagua utekelezaji wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBODI YA MAJI BONDE LA KATI YATOA MAAGIZO MAZITO KWA WAMILIKI WA MABWAWA TOPE SUMU
Afisa wa Maji Bonde la Kati, William Mabula, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kukagua athari za mafuriko kufuatia kujaa kwa maziwa ya Kindai, Munang na Singidani mkoani hapa jana.
Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Nelea Bundala, akionesha athari za mafuriko hayo.
Muonekano wa Ofisi ya Bodi ya Maji Bonde la Kati mkoani Singida.
Na Waandishi Wetu, Singida
KUFUATIA mvua kubwa za masika zinazoendelea kunyesha Bodi ya Maji Bonde la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wjbtdxVX4bg/XsVvcdsDh7I/AAAAAAALrA0/Yw09tRyYGzgcR41GYjSGSgsob8sXKZR2ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0036.jpg)
DC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0020.jpg)
DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0020.jpg)
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AKAGUA MAGHALA YA SUKARI DAR ES SALAAM, ATOA MAAGIZO MAZITO
9 years ago
MichuziMkuu wa mkoa wa kilimanjaro atembelea uwanja wa ndege Kia na kutoa maagizo Mazito
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpeg)
RC KAGERA AKABITHI BOTI KWA WATENDAJI KATA, ATOA MAAGIZO MAZITO KUHUSU MATUMIZI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s640/1..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera Bri.Gen Marco Gaguti aliyeshika ufunguo wenye kamba nyekundu akikabidhi boti kwa watendaji wa kata.
![](https://1.bp.blogspot.com/-0VD9AbMVj5o/Xs5GXZUTtlI/AAAAAAALrso/6suT3X98SH0jeRm5NkJliZ1WpBdCASlcgCLcBGAsYHQ/s640/2..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera akiwahuitubia wavuvi pamoja na wananchi katika kijiji cha katembe Kata Nyakabango wilayani Muleba wakati wa hafla ya kukabithi Boti.
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX3I2C95dPU/Xs5GXfNVdaI/AAAAAAALrss/svcuGEtFTx8_9AGCLEyEHlZg_vCMJ2oFgCLcBGAsYHQ/s640/3..jpeg)
Wananchi pamoja na viongozi wa wilaya Muleba wakimsikiliza Mkuu wa mkoa alipokuwa akiwahutubia.
Na Allawi Kaboyo,Muleba
Kufatia kuwepo kwa vitendo vya uvuvi Haramu katika ziwa Victoria,Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia...
11 years ago
Habarileo28 May
Watu watano wafa Ziwa Victoria
WATU watano wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Meli FB Matara iliyozama Ziwa Victoria yaibuliwa