Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro atembelea uwanja wa ndege Kia na kutoa maagizo Mazito
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla ametembelea uwanja wa ndege Kilimanjaro(KIA) kujionea ujenzi wa ya upanuzi wa uwanja na shughuli za uwanja wa ndege Katika kikao cha menejimenti ya kampuni ya uendeshaji uwanja KADCO mkuu wa mkoa amewapongeza uongozi kwa kuongeza ndege zinazotua na kuruka, uwezo wakujiendesha kwa kuwa na mapato mazuri na uwezo wa kudhibiti vitendo haramu vya madawa ya kulevya, usafirishaji nyara za serikali na ugaidi Pamoja na pongezi hizo mkuu wa mkoa ameagiza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s72-c/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASA ALIPOWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KILIMANJARO KIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s640/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-inD6l5wfnwc/VdARpsTyf-I/AAAAAAAATH8/s4XEWO20Cu0/s640/E86A8551%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R__scpUzi30/VdARndPNBiI/AAAAAAAATHs/yc0yDlHI0oM/s640/E86A8553%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkzvmXMPOI/VdARxY8symI/AAAAAAAATIE/4PmHQf1h7KA/s640/E86A8559%2B%25281280x853%2529.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA (KIA)
5 years ago
MichuziNDITIYE AZINDUA SAFARI ZA NDEGE ZA MIZIGO UWANJA WA KIA
KADCO yajenga chumba cha barafu chenye uwezo wa kubeba tani 110
Na Prisca Ulomi, WUUM, KIA
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye amezindua safari za ndege za mizigo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya kuwawezesha wafanyabiashara, wakulima wa mazao, matunda na mboga mboga wa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara na mikoa ya jirani kutumia usafiri huo kusafirisha mizigo yao kwenda nje ya nchi ya Tanzania
Nditiye amesema kuwa uzinduzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3jhyajQN1L4/XuD3mvo0Q0I/AAAAAAALtZg/hzgDbKjNAYoCqLdzU6DPVENeCVH8LWq3gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B5.44.40%2BPM.jpeg)
9 years ago
Global Publishers23 Dec
KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1
![](http://3.bp.blogspot.com/-eMYDVtXF45s/Vnod9WQt3XI/AAAAAAAAY5w/cJtUNt5blNI/s640/IMG_1887%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s640/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDwYlrDcGJ4/VnoeH89Y2WI/AAAAAAAAY6I/vO2xaiqe3Mw/s640/IMG_2155%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uLwF-i9kr7E/VnoeH8NZvOI/AAAAAAAAY6E/pKSl8jRrCIk/s640/IMG_2169%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3dN5zK0mwVU/VnoeI53-haI/AAAAAAAAY6Q/Me6Rtp_O2rw/s640/IMG_2170%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5LKNzlvzjkU/Vnod9OSYGBI/AAAAAAAAY5s/CrTby9C_ZGQ/s640/IMG_1888%2B%25281024x683%2529.jpg)
Na Dixon...
10 years ago
MichuziWAREMBO MISS TANZANIA WASHUHUDIA UPIMAJI WAGONJWA WA EBOLA UWANJA WA NDEGE WA KIA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s72-c/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
KADCO YAOKOA ZAIDI YA BILIONI 2 UWANJA WA NDEGE WA KIA NDANI YA WIKI MOJA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s640/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDwYlrDcGJ4/VnoeH89Y2WI/AAAAAAAAY6I/vO2xaiqe3Mw/s640/IMG_2155%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3dN5zK0mwVU/VnoeI53-haI/AAAAAAAAY6Q/Me6Rtp_O2rw/s640/IMG_2170%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5LKNzlvzjkU/Vnod9OSYGBI/AAAAAAAAY5s/CrTby9C_ZGQ/s640/IMG_1888%2B%25281024x683%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3QuwAYi3_v8/XsaThlAdLGI/AAAAAAALrJY/ZYP-yFrESsg8_kJ4bu_228q8fG2iplWSgCLcBGAsYHQ/s72-c/4a37514d-45ea-481b-8c2f-25296c237678.jpg)
NDEGE YA KWANZA YA WATALII YAWASILI LEO UWANJA WA KIA, ZINGINE KUTUA KUANZIA MEI 28
SERIKALI imesema leo majira ya saa 3:30 asubuhi, Ndege ya kwanza iliyobeba watalii ikitokea nchini Ugiriki imetua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro ikiwa ni mwanzo wa kurejea kwa usafiri wa anga kwa Ndege za kimataifa nchini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe wakati akizungumza na wandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dodoma.
Waziri Kamwelwe amesema Ndege iliyotua leo ilikua na watalii wanne na watu...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA KILIMANJARO