Wafukua kaburi kusaka dhahabu, simu, fedha
NA GUSTAPHU HAULE, KIBAHA
WATU wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamebomoa kaburi la Napegwa Kishaluli (75) mkazi wa Mailimoja Kibaha mkoani Pwani aliyezikwa Aprili 20 mwaka huu na kumvua nguo zote pamoja na kuchukua mikoba aliyokuwa amezikwa nayo.
Tukio hilo lilitokea Aprili 24 mwaka huu katika Kata ya Tangini jirani na soko la Loliondo ambako baada ya mazishi kaburi hilo liliwekewa mlinzi kwa muda wa wiki moja.
Mkataba wa mlinzi huyo ulipomalizika aliondoka na siku iliyofuata kaburi hilo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKllH-rrmy149rcTTu*QhqfL2OjnXhFZhgsGUGU4wZuq5upE82VfZ4MCBjIh0JB0-fWtT7mLMYz80n9k0AtV*QPj/Kaburi.jpg)
WAFUKUA KABURI, WAMVUA MAITI SUTI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzTXU2HD8DwsIG40rGKW6Blhmrh3MMh4lk8UGjtwzI1F-uKPZI-oCOHFclbI48XKVGw7b6bGogP85-gHLDeITe5/sddtt.jpg)
STEVE NYERERE ANADAIWA KULAMBA FEDHA ZA KABURI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScunBg-n6UimWiGofbrzs7JsOujMuxo0fBIskDOpMbxQxg9Aq6T-vPiAMNme1CuUHi9bgwifqi9Mmc4iqhNXetzS/aibu.jpg)
KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s72-c/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
WAFANYAKAZI 21 WA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s640/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2lCKfAIwYj0/VYjlSvLgF0I/AAAAAAAARaQ/nogF8I7UKlc/s640/IMG_2182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yb7xg6iZgrw/VYjlVL7-cwI/AAAAAAAARag/tj6IN7g_v34/s640/IMG_2184%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CdOZt5LH4iY/VYjlYU5sZnI/AAAAAAAARas/Lm4coaebRFw/s640/IMG_2187%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BHR0Y4N4KV8/VYjlH4afiEI/AAAAAAAARZo/w8FySszIGPw/s640/IMG_2131%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6fEyV_-4Bz0/VYjlHDbiY0I/AAAAAAAARZg/bdHy2ZuldBY/s640/IMG_2132%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Urais CCM wafukua mazito
Na Waandishi wetu
IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotangaza nia ya kuwania urais imezidi kuongezeka, huku kila mmoja akifukua mambo mazito.
Hatua hiyo, imekuja baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani jana kutangaza rasmi kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
Makada hao, wanaungana na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Kilimo, Chakula...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Majambazi waua, wapora fedha, simu
KUNDI la watu zaidi ya 10 wanaosadikiwa kuwa majambazi, wameua watu wawili, kujeruhi wengine kadhaa na kupora fedha za mauzo ya baa na simu katika mji wa Sirari.
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu
SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qtWLZWAwR98bKPwALM7f0m26enTv2CGJBT8KmHyMmejdlU9vly6OQ2DyLqJgzbdqKP4x1RFcuGV-h*uezr9-knI/3.jpg)
JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA WA FEDHA KUANZA KUSAJILIWA MWEZI HUU,WAMO MAWAKALA WA PESA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Bw.Bernard Dadi akizungumza kwenye Semina ya Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha inayoendelea jijini Arusha, kuhusu Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma wa kifedha,na ufafanuzi zaidi kuhusukusajiliwa kwa Watoa huduma wa Fedha nchini.
Dadi amesema kuwa usajili huo utakuwa ni wa lazima kwa yoyote atakaye husika na utoaji wa huduma wa Fedha,na kwamba usajili huo unatarajiwa kuanza rasmi Mwezi Machi-Aprili 2020 kwa...