MAMA KANUMBA AFICHUA MAZITO YA RAY, MWANAYE
![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg-kz*w0ZQSf-U4t0JopuN26s*n9dKAwHQeiDRlxmBo9ajMtTKAw33xADRNhDVw*8vIKiyYbTousfxoulY1Qwk8X/mamak.jpg)
Stori: Mwandishi Wetu BAADA ya hivi karibuni siri kufichuka kwamba Kundi la Bongo Movie linateswa na laana ya marehemu Steven Kanumba, mama yake Flora Mtegoa ameibuka na kueleza mazito yakiwemo ya aliyekuwa rafiki wa mwanaye, Vincent Kigos ‘Ray’, Risasi Jumamosi linakupa mchapo. Mama yake marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa. Akizungumza kwa hisia kali Mama Kanumba alisema anaungana na katibu msaidizi wa klabu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Mama Lulu Funguka Mambo Mazito Kuhusu Mwanaye!
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMZ*WkF7TpWtSWBKSklNI54NgvvraNc3aUegFfbHMnTcnDUkH0TZ0d-8uWkwiKGVZ9b0vme3NOudDPof6J24F1Kb/mamak.jpg)
MAMA KANUMBA AMWAGA ‘SUMU’ ZA MWANAYE
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...
10 years ago
Mtanzania22 Sep
Bosi usalama afichua mazito
![Balozi wa Umoja wa Mataifa, Augustine Maiga, akitoa mada wakati maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani yaliyojadili Nafasi ya Vijana katika Kudumisha Amani yaliyofanyika mkoani Dodoma jana. Kulia ni mtoa mada mwenzake kutoka Baraza la Dini la Kudumisha Amani, Shekh Mohammed Khamis Said. Picha na Silvan Kiwale](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/maiga-na-sheikh.jpg)
Balozi wa Umoja wa Mataifa, Augustine Maiga, akitoa mada wakati maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani yaliyojadili Nafasi ya Vijana katika Kudumisha Amani yaliyofanyika mkoani Dodoma jana. Kulia ni mtoa mada mwenzake kutoka Baraza la Dini la Kudumisha Amani, Shekh Mohammed Khamis Said. Picha na Silvan Kiwale
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
BALOZI wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, amesema vijana wa Tanzania ni kati ya wapiganaji wanaounda kundi la kigaidi la Al-Shabaab lililoko nchini...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW22XiO7sOnkN793mQLrJ4eFrsAtChFUDVfuao*hmUL-Tb1C12Rb03TNjGyXZDO9Eliix*Tq1zhleuYz8FJlj17C-/kajala.jpg)
MADAI MAZITO; KAJALA AMHARIBU MWANAYE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwF*00tFiC9*CcSUdJ1hOELA3fuHDuHPalNLBjxu2n8s-HmLrovTcwsBuhN5QkWgtaG9FcCiyIkWp2TxaA5exom/VincentKigosi5312.jpg?width=650)
RAY AFICHUA SIRI YA CHUCHU!
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
MAMA KANUMBA: Skendo ya Kanumba iliyonitesa ni ya Ung'eng'e
Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ambaye kwasasa ameingia kwenye tasnia ya filamu hapa nchini amefunguka kuwa hakuna skendo ambayo ilimsononesha kama ile ya mwanaye huyo kuambiwa hajui Kiingereza .
Mama Kanumba alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalum na Mwandishi Wetu : “Eti Kanumba hajui Kiingereza , hili lilinishtua sana nikalipinga kwa nguvu zote sababu najua mwanangu hata shule alikuwa kichwa, ” alisema mama Kanumba .
Skendo ya kudaiwa kutozungumza Kiingereza...
10 years ago
Bongo Movies18 Feb
Mama Kanumba Awa Mbogo, Kisa Ofisi ya Kanumba…!
KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.
Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?...
10 years ago
Bongo514 Jan
Mama Kanumba asikitishwa na wasanii pamoja na wadau wa filamu kususia uzinduzi wa kitabu cha Kanumba