Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAJALA, MWANAYE GUMZO MLIMANI CITY

Na Imelda Mtema SEXY lady wa filamu Bongo, Kajala Masanja hivi karibuni aligeuka gumzo yeye na mwanaye walipoenda kufanya ‘shopping’ Mlimani City ambapo watu walikuwa wakiwakodolea macho kwa jinsi alivyolingana na mtoto wake. Sexy lady wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwa na mwanaye Paula. Kajala alitinga eneo hilo na mtoto wake huyo aitwaye  Paula ambapo awali walienda kupata chakula katika mgahawa wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATINUMZ AWA GUMZO USIKU HUU MLIMANI CITY

Staa wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond Platinum' akifanya yake usiku huu Mlimani City akiwa na wacheza shoo wake.…

 

10 years ago

CloudsFM

KAJALA AIONYESHA MOVIE YAKE YA MBWA MWITU,MLIMANI CITY

STAA wa Bongo Fleva, Kajala Masanja pamoja na timu yake ya Kay Entertainment kampuni mpya ya kuzalisha filamu ambayo iko chini yake, jana usiku pande za Mlimani City waliionyesha filamu yao ya kwanza inaitwa Mbwa Mwitu. Filamu hiyo ambayo ina historia ya ukweli inahusu genge la vijana wahalifu waliokuwa wakisumbua jijini Dar Es Salaam.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Filamu ya ‘Mbwa Mwitu’ ya Kajala yazinduliwa Mlimani City

Msanii wa filamu nchini, Kajala Masanja jana amefanikiwa kuzindua filamu yake mpya ‘Mbwa Mwitu’ ndani ya ukumbi wa sinema wa Mlimani City jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali wa filamu pamoja na wanamuziki. Kajala akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na Bongo5 kwenye uzinduzi huo, Kajala amesema filamu hiyo ni maalum kwaajili […]

 

9 years ago

GPL

MADAI MAZITO; KAJALA AMHARIBU MWANAYE!

Brighton Masalu MSALA! Kuna madai mazito yanayosema kuwa nyota wa filamu Bongo, Kajala Masanja ambaye alizaa na ‘prodyuza’ mkali wa muziki wa kizazi kipya, Paul Matthyssen ‘P Funk’ anamharibu mtoto wao anayefahamika kwa jina la Paula. Nyota wa filamu Bongo, Kajala Masanja. Chanzo ambacho pia ni rafiki wa karibu wa familia ya bosi huyo wa Bongo Records, kinasema wazazi hao hivi sasa wako katika mvutano mkubwa kutokana na...

 

10 years ago

CloudsFM

KAJALA AWAFUNGUKIA WANASEMA KUWA ANAMHARIBU MWANAYE KITABIA

Staa wa Bongo Movie,Kajala Masanja amewatolea uvivu mashabiki wake waliomshambulia kuwa anamharibu mtoto wake aliyezaa na producer wa Bongo Records,P Funk,Paula kutokana na mavazi yasiyo na maadili anayoyavaa mbele ya mwanaye huo.Mashabiki hao walimshambulia kupitia mtandao wa Instagram baada ya kupost picha akiwa amevaa nguo ambayo inaonyesha tumbo lake likiwa wazi ambapo mashabiki hao walidai kuwa anamfundisha nini mwanaye kutokana na mavazi hayo aliyoyavaa.Baada ya kuona mashambulizi hayo...

 

10 years ago

Mtanzania

Baba amzuia mwanaye Mbeya City

IMG_0686NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM

BABA mzazi wa kipa namba moja wa timu ya Mbeya City, Abdallah David, amemzuia mwanaye David Burhani, kuichezea timu hiyo kwa kile alichodai kupotezewa muda na timu hiyo.

Burhani alisimamishwa kwa muda usiojulikana na uongozi wa timu hiyo, siku chache baada ya kudaiwa kuihujumu timu hiyo katika mchezo wao dhidi ya Yanga.

Katika mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine mjini humo, Yanga walishinda mabao 3-1 huku Burhani akidaiwa kufanya uzembe wa kuruhusu...

 

10 years ago

TheCitizen

Mlimani City mall still insecure

>As patrons at Dar es Salaam’s Mlimani City shopping complex come to terms with the recently introduced parking charges, insecurity in and around the place remains a concern.

 

10 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AWASILI MLIMANI CITY

Muungano wa wasanii wameandaa hafla maalum ya kumshukuru na kumuaga Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na kumpongeza na kumkaribisha Mheshimiwa John Pombe Magufuli ,Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi,inayofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City .Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye ukumbi wa Mlimani City tayari kuhudhuria hafla maalum ya kumshukuru na kumuaga Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ,Rais wa Jamhuri ya...

 

11 years ago

GPL

HOFU YA BOMU MLIMANI CITY

Na Waandishi Wetu HUKU watu karibia 60 nchini kenya wakiuawa kwenye mashambulizi ya kigaidi, katika hali isiyo ya kawaida nchini Tanzania, walinzi wa Maduka ya Mlimani City jijini Dar wamejikuta wakipata mchecheto wa aina yake baada ya kitu kilichodhaniwa ni bomu kukutwa kwenye eneo la kuegeshea magari. Walinzi wa maduka ya Mlimani City jijini Dar wakikagua kitu kinachosadikika kuwa ni bomu. Tukio hilo lilitokea Juni 16, mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani