Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlimani City mall still insecure

>As patrons at Dar es Salaam’s Mlimani City shopping complex come to terms with the recently introduced parking charges, insecurity in and around the place remains a concern.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Airtel renovates, relaunches its Mlimani City Mall centre

Airtel Tanzania has unveiled its refurbished shop at Mlimani City Shopping Mall as the company vows to renovate all its centres to make them more customer friendly.

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: PATASHIKA MLIMANI CITY LEO BAADA YA MALL HIYO KUUZWA KWA NAKUMAT...

Makundi makubwa ya watu  yanaonekana yametapakaa katika shopping mall ya Mlimani City jijini Dar es salaam leo baada ya mall hiyo kuuzwa kwa mmiliki mwingine inayesemekana kuwa ni NAKUMAT. Hapo ni wafanyakazi wa Mlimani City wakisubiri hatma yao. Habari zaidi tunafuatilia.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rocky City Mall, ya kwanza, ya kipekee

UKIFIKIRIA kwamba nakshi na usanifu wa jengo la kitega uchumi linalomilikiwa kwa ubia kati ya Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa (LAPF) na Halmshauri ya Jiji la Mwanza, ni urembo na mbwembwe tu za wasanifu majengo ili kurembesha kazi zao, unahitaji kubungua ubongo upya, kwa sababu utakuwa umekosea.

Jengo hilo ‘Rocky City Mall’ lililoko eneo maarufu la Ghana, Kata ya Kirumba, jijini Mwanza, kwenye makutano ya Barabara za Makongoro na Furahisha, si tu linaanza kuitimiza ndoto ya...

 

5 years ago

Press

Huawei City Mall Shop Launch

066A8537

Huawei Tanzania imeendelea kubuni mbinu mpya za kukidhi haja za wateja wake kwa kuwaletea karibu simu na vifaa vyenye viwango vya kimataifa. Ili kuwahudumia wateja wake katika namna bora na ya ufanisi Zaidi. Kampuni ya Huawei Tanzania wamezindua duka lake la 6 hapa City Mall, Dar es Salaam; ikiwa ni hatua ya kuitikia uhitaji mkubwa wa vifaa vya Huawei nchini na kuhakikisha kuwa bidhaa halisi na huduma bora za Huawei zinapatikana kwa wateja kwa urahisi.

Hili ni duka la tatu la bidhaa hii...

 

11 years ago

TheCitizen

With Sh5,000, you can drive away a car from city mall

City motorists who use Mlimani City Shopping Mall parking lot should be on high alert or count losses following laxity in security among guards at the establishment.

 

9 years ago

MillardAyo

Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz)

Watu wangu wa nguvu kutokea rock city Mwanza walipata bahati ya kutembelea Mlimani City yao kwa mara ya kwanza inaitwa “Rock City Shopping Mall” kwenye utambulisho rasmi baada ya kukamilika kwa ujenzi uliochukua zaidi ya miaka miwili, watu walifanya shopping za nguvu na kufurahi na burudani kutoka kwenye vipaji vyao mpaka kwa mkali wa sauti Barnaba […]

The post Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz) appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini uzinduzi wa Rocky City Mall: Kufanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali Mwanza

kinabo (3)

Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo, akifafanua jambo kwa waandishi wa  habari jijini Mwanza jana, ambapo jengo la kimataifa la biashara(Rock City Mall) limekamilika na Tigo  watafanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali,kushoto  ni Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa Mwanza City Commercial Complex Company Limited Joseph Mlinzi na kulia ni Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry.

meneja tigo pesa kanda ya ziwa (1)

Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa  Orry, akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AWASILI MLIMANI CITY

Muungano wa wasanii wameandaa hafla maalum ya kumshukuru na kumuaga Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na kumpongeza na kumkaribisha Mheshimiwa John Pombe Magufuli ,Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi,inayofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City .Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye ukumbi wa Mlimani City tayari kuhudhuria hafla maalum ya kumshukuru na kumuaga Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ,Rais wa Jamhuri ya...

 

11 years ago

GPL

HOFU YA BOMU MLIMANI CITY

Na Waandishi Wetu HUKU watu karibia 60 nchini kenya wakiuawa kwenye mashambulizi ya kigaidi, katika hali isiyo ya kawaida nchini Tanzania, walinzi wa Maduka ya Mlimani City jijini Dar wamejikuta wakipata mchecheto wa aina yake baada ya kitu kilichodhaniwa ni bomu kukutwa kwenye eneo la kuegeshea magari. Walinzi wa maduka ya Mlimani City jijini Dar wakikagua kitu kinachosadikika kuwa ni bomu. Tukio hilo lilitokea Juni 16, mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani