Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel renovates, relaunches its Mlimani City Mall centre

Airtel Tanzania has unveiled its refurbished shop at Mlimani City Shopping Mall as the company vows to renovate all its centres to make them more customer friendly.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Mlimani City mall still insecure

>As patrons at Dar es Salaam’s Mlimani City shopping complex come to terms with the recently introduced parking charges, insecurity in and around the place remains a concern.

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: PATASHIKA MLIMANI CITY LEO BAADA YA MALL HIYO KUUZWA KWA NAKUMAT...

Makundi makubwa ya watu  yanaonekana yametapakaa katika shopping mall ya Mlimani City jijini Dar es salaam leo baada ya mall hiyo kuuzwa kwa mmiliki mwingine inayesemekana kuwa ni NAKUMAT. Hapo ni wafanyakazi wa Mlimani City wakisubiri hatma yao. Habari zaidi tunafuatilia.

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yazindua duka la kisasa Mlimani City

Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet akikata utepe kuzindua rasmi duka la Airtel lililopo mlimani city jijini Dar es Saalam.wakishuhidia, wapili ni Andre Beyers Afisa mkuu wa masoko Airtel Afrika akiwa na meneja wa duka Wahida Saleh na Sunil Colaso Mkurugenzi Mkuu Airtel Tanzania. Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet akikata utepe kuzindua duka la Airtel lililopo mlimani city jijini Dar es Saalam.wakishuhidia, wapili ni Andre Beyers Afisa mkuu wa...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA DUKA LA KISASA MLIMANI CITY‏

Afisa Mtendaji Mkuu wa Airtel Africa, Christophe Soulet akikata utepe kuzindua duka la Airtel  lililopo Mlimani City  jijini Dar es Saalam. Wakishuhidia, wa pili ni Andre Beyers Afisa Mkuu wa Masoko Airtel Afrika akiwa na Meneja wa Duka, Wahida Saleh na Sunil Colaso Mkurugenzi Mkuu Airtel Tanzania.
Duka la…

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR ILIVYOBAMBA MLIMANI CITY JIJINI DAR

Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Gulio la Airtel na Huawei Smartphone lililofanyika Mlimani City wikiendi hii. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.Gulio hili lilianza Ijumaa, Jumamosi na Jumapili na litakaloendelea wiki ijayo siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili pale Kibo Complex Tegeta.Baadhi ya Wateja waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone wakipewa maelezo...

 

11 years ago

TheCitizen

City plans to ban boda bodas from city centre

>The Kampala Capital City Authority is planning to abolish stages for boda bodas in the city centre as part of its efforts to streamline public transport and reduce congestion.

 

5 years ago

Press

Huawei City Mall Shop Launch

066A8537

Huawei Tanzania imeendelea kubuni mbinu mpya za kukidhi haja za wateja wake kwa kuwaletea karibu simu na vifaa vyenye viwango vya kimataifa. Ili kuwahudumia wateja wake katika namna bora na ya ufanisi Zaidi. Kampuni ya Huawei Tanzania wamezindua duka lake la 6 hapa City Mall, Dar es Salaam; ikiwa ni hatua ya kuitikia uhitaji mkubwa wa vifaa vya Huawei nchini na kuhakikisha kuwa bidhaa halisi na huduma bora za Huawei zinapatikana kwa wateja kwa urahisi.

Hili ni duka la tatu la bidhaa hii...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rocky City Mall, ya kwanza, ya kipekee

UKIFIKIRIA kwamba nakshi na usanifu wa jengo la kitega uchumi linalomilikiwa kwa ubia kati ya Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa (LAPF) na Halmshauri ya Jiji la Mwanza, ni urembo na mbwembwe tu za wasanifu majengo ili kurembesha kazi zao, unahitaji kubungua ubongo upya, kwa sababu utakuwa umekosea.

Jengo hilo ‘Rocky City Mall’ lililoko eneo maarufu la Ghana, Kata ya Kirumba, jijini Mwanza, kwenye makutano ya Barabara za Makongoro na Furahisha, si tu linaanza kuitimiza ndoto ya...

 

11 years ago

TheCitizen

With Sh5,000, you can drive away a car from city mall

City motorists who use Mlimani City Shopping Mall parking lot should be on high alert or count losses following laxity in security among guards at the establishment.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani