Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel yazindua duka la kisasa Mlimani City

Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet akikata utepe kuzindua rasmi duka la Airtel lililopo mlimani city jijini Dar es Saalam.wakishuhidia, wapili ni Andre Beyers Afisa mkuu wa masoko Airtel Afrika akiwa na meneja wa duka Wahida Saleh na Sunil Colaso Mkurugenzi Mkuu Airtel Tanzania. Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet akikata utepe kuzindua duka la Airtel lililopo mlimani city jijini Dar es Saalam.wakishuhidia, wapili ni Andre Beyers Afisa mkuu wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA DUKA LA KISASA MLIMANI CITY‏

Afisa Mtendaji Mkuu wa Airtel Africa, Christophe Soulet akikata utepe kuzindua duka la Airtel  lililopo Mlimani City  jijini Dar es Saalam. Wakishuhidia, wa pili ni Andre Beyers Afisa Mkuu wa Masoko Airtel Afrika akiwa na Meneja wa Duka, Wahida Saleh na Sunil Colaso Mkurugenzi Mkuu Airtel Tanzania.
Duka la…

 

11 years ago

Mwananchi

Airtel yazindua Duka la kisasa Dar

Kampuni ya Airtel imekarabati duka lake lililopo Mlimani City na tayari imelizindua likiwa na mwonekano wa kisasa.

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yafungua duka la kisasa Mwanza

 Mrakibu mwandamizi wa polisi  mkoa wa Mwanza SSP  Christopher Cyprian Fuime,  akikata utepe kuzindua duka la Airtel Mwanza mara baada ya matengenezo na kulifanya duka hilo kuwa la kisasa, pembeni yake ni Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba akiwa pamoja na wafanyakazi wa Airtel Mwanza. Uzinduzi huu umefanyika mwisho mwa wiki hii
 Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba (kulia) akimwonyesha mgeni rasmi Mrakibu mwandamizi wa...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA DUKA LA ARUSHA‏

Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala (kushoto) akizungumza jambo na Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Alumeru, Nyirembe Munasa wakati wa hafla fupi ya uzinduzi  wa duka la huduma kwa wateja jijini Arusha.Katikati ni Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa airtel Tanzania, Adriana Lyamba(wa pili kushoto) na Maneja wa Kanda ya Kaskazini wa TCRA, Inginia Annette...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZINDUA DUKA MKOANI TANGA

 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Magalula (katikati), akikata utepe kuzindua Duka jipya la Airtel Tanzania lililopo katika Barabara ya Uhuru jijini Tanga jana. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Airtel, Adriana Lyamba na (kulia kwake) ni Afisa wa Huduma kwa Wateja wa Duka hilo, Mwanavita Chiya.  Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Airtel, Adriana Lyamba (wa pili kushoto), akifafanua jambo kwa  Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Magalula (kushoto), kuhusu bidhaa mbalimbali zinazouzwa...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yazindua duka lake jijini Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyrembe Munasa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la huduma kwa wateja la airtel jijini Arusha .Kushoto ni Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala.Hafla ya uzinduzi ilifanyika jana jijini Arusha. Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala (kushoto) akizungumza jambo na Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyirembe Munasa wakati wa...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom yaendelea kusogeza huduma karibu na wateja wake, yazindua duka jipya la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam

 Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania Plc, George Lugata akizungumza na wageni waalikwa na wafanyakazi wa Vodacom mara baada ya uzinduzi wa duka jipya la kisasa lililopo Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar Es Salaam leo Msimamizi wa duka jipya la Vodacom Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar es salaam, Devota Kijogoo akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa duka hilo. Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja...

 

11 years ago

TheCitizen

Airtel renovates, relaunches its Mlimani City Mall centre

Airtel Tanzania has unveiled its refurbished shop at Mlimani City Shopping Mall as the company vows to renovate all its centres to make them more customer friendly.

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR ILIVYOBAMBA MLIMANI CITY JIJINI DAR

Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Gulio la Airtel na Huawei Smartphone lililofanyika Mlimani City wikiendi hii. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.Gulio hili lilianza Ijumaa, Jumamosi na Jumapili na litakaloendelea wiki ijayo siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili pale Kibo Complex Tegeta.Baadhi ya Wateja waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone wakipewa maelezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani