MADHARA YA UNENE KWA WAJAWAZITO NA WATOTO
![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6abdx4t0Q0sCLBAq2Ut7ecwH58Eyik95B*1iQ0k1Rf3XCfclMDFlbbdbnn1AdIeVEhJIYjHcpQ4n1NuG0nrHmHC/fat15f1web.jpg?width=650)
Na Dk Mandai A Simu 0717961795, 0754391743 Unapaswa kujua kuwa, wanawake wenye uzito wa kupitiliza (obese women) wakiwa wajawazito wanakabiliwa na hatari ya kupata madhara makubwa. Madhara hayo ni kama haya yafuatayo, kupata ugonjwa wa kisukari cha ujauzito ambacho ni hatari kwa maisha yake. Mjamzito pia anaweza kupata matatizo ya shinikizo la damu wakati… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo42wtGfS9Vyh3bhGoskfEqzmwfD0qcXReAP91C7NnRk9pXdgVxpVWGv3Wi3FVJOz0uvWF5vPJmVVnHyAlEjUQx*/FCASCD_varicella_zoster_virus_infection.jpg?width=650)
UGONJWA WA TETEKUWANGA (CHICKEN POX) MADHARA YA TETEKUWANGA KWA WAJAWAZITO
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Hatari Kwa Watoto Wenye unene kupita kiasi
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Uvivu una madhara gani kwa watoto?
9 years ago
StarTV04 Dec
Vifo kwa wajawazito, watoto vyapungua Kigoma
Kasi ya vifo vinavyotokana na uzazi kwa wajawazito na watoto vimepungua mkoani Kigoma kutokana na kuanzishwa na kutekelezwa kwa mpango mkakati wa huduma ya upasuaji katika vituo vya afya vijijini.
Mpango huo umewezesha wanawake wengi wajawazitio kuondokana na adha ya kusafirishwa umbali mrefu kufuata huduma hiyo pindi inapohitajika katika hospatali za wilaya ama mkoa.
Kwa mujibu wa taarifa za Afya mkoani Kigoma, wanawake 62 walipoteza maisha mwaka 2014 kutokana na matatizo ya uzazi na...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Vifo vya watoto, wajawazito vitazamwe kwa jicho la tatu
KUTOKANA na matatizo yanayoikabili sekta ya afya ikiwemo huduma zote stahiki kwa mjamzito, watoto walio chini ya miaka mitano na wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 ni wakati muafaka...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Tanzania yapongezwa kwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
![Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_01041.jpg)
Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Utafiti: Mtindi kinga dhidi ya kemikali hatari kwa wajawazito na watoto
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Wazazi wanapaswa kudhibiti unene wa watoto
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Wajawazito, watoto walivyo hatarini katika migodi Geita