Magereza wahitaji bil.14/- za chakula
SERIKALI imetakiwa kuwekeza Sh bilioni 13.6 kusaidia Jeshi la Magereza kujitosheleza katika chakula katika mpango waliouandaa wa kilimo cha kibiashara.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Kimbunga Pam:Vanuatu wahitaji chakula
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Apr
Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji
NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ISIMhKsGNaA/Xrpzs4_jXLI/AAAAAAALp5A/rif3_N-XQm4uwr4Wz-Ws-ULust4rNA3fwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0023.jpg)
USHIRIKA WA CHAURU WAHITAJI BIL.11 KUNUNUA MASHINE YA KUONDOLEA MAJI KWENYE MASHAMBA
USHIRIKA wa Umwagiliaji Ruvu (CHAURU) unaofanya kilimo katika mashamba ya Ruvu ,Kata ya Vigwaza Bagamoyo, Pwani, Unahitaji sh .bilioni. 11 kwa ajili ya kununua mashine ya kuondoa maji kwenye mashamba ya wanachama wake.
Hatua hiyo inalenga kuondokana na changamoto ya mashamba kuingia maji, hasa nyakati za mvua hali inayosababisha kushindwa kuendeleza kilimo.
Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa CHAURU Sadala Chacha, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi...
9 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KUPITIA RASIMU YA MPANGO WA WA JESHI LA MAGEREZA KUJITOSHELEZA CHAKULA, JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Jeshi la Magereza lajipanga kujitosheleza chakula cha wafungwa
Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Jeshi la Magereza nchini limejipanga kuanza kujisimamia lenyewe kwa kuwahudumia wafungwa chakula bila ya kuitegemea serikali kutokana na kuwepo na upungufu wa chakula cha kuwahudumia wafungwa hao.
Akizungumzia mpango huo wakati wa kikao cha kujadili rasimu ya mpango wa Jeshi hilo kujitosheleza kwa chakula, Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja amesema wameanzisha mpango huo ili kuipunguzia mzigo serikali kutokana na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RYs9QXyO8I8/U7ucPwCbGuI/AAAAAAAFxW8/9ZIBF5RPkYs/s72-c/image.jpeg)
WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-RYs9QXyO8I8/U7ucPwCbGuI/AAAAAAAFxW8/9ZIBF5RPkYs/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHZstPnDE-s/U7ucPyjVrnI/AAAAAAAFxXA/ZOLbehgKUoQ/s1600/image_1.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AVISHA YEO MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR ES SALAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s1600/image.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bTICbcczo5Y/VQ1sP47alSI/AAAAAAADdAk/IjUIFSCy7Uk/s1600/image_1.jpeg)