Sokwe wagundua kifaa cha kunywa maji
Watafiti wamegundua kifaa kipya kinachotumiwa na idadi kubwa ya masokwe kunywa maji .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wRhC4Yf1PwI/VUJC5-FZd7I/AAAAAAAHUVc/OaU_CTTl76I/s72-c/DSC_0239.jpeg)
SUNNRGY WAGUNDUA KIFAA KINACHOTUMIA MIONZI YA JUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wRhC4Yf1PwI/VUJC5-FZd7I/AAAAAAAHUVc/OaU_CTTl76I/s1600/DSC_0239.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mjDAMq7mGRc/VUJC3iwPTTI/AAAAAAAHUVU/ca1YGgOIBl0/s1600/DSC_0275.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ijoe9sdPsGc/VUJC_xcnLwI/AAAAAAAHUVs/x-Msk0DXd0s/s1600/DSC_0302.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zSHAgTatLuI/XooC40NRpxI/AAAAAAALmHY/zNslRSz1th86nvpZM_IQGReW9_PbtlnygCLcBGAsYHQ/s72-c/35239afa-4ae5-4dcd-be68-f2560a84c510.jpg)
Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro
Mnamo tarehe 04 April 2020 kundi la Simba Jamii Tanzania " Ultras" lilikabidhi zawadi ya tank la maji la lita 2,000 pamoja na kifaa cha kuzalisha umeme Jua (Solar) kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Ukhty Raya kilichopo eneo la Mindu mkoani Morogoro.
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
10 years ago
GPLMAHABUSU YA WATOTO YAPATA MSAADA WA KIFAA CHA KUSAFISHA MAJI SAFI NA SALAMA
Kamishna wa Ustawi wa Jamii,Bw. Dunford Makalla akikata utepe kuashiria ufunguzi wa mtambo mpya wa kusafishia maji safi na salama katika Mahabusu ya Watoto iliyopo Upanga,jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni wafanyakazi wa Kampuni ya Davis&Shirtliff. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya DAVIS & SHIRTLIFF, Bw. Benjamin Munyao akimuonyesha Kamishna Wa Ustawi wa Jamii, Bw.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xm1XeshQta4/U_TMnTV5pEI/AAAAAAAGA9s/XI0MMyay-dk/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kwimba kuanza kunywa maji safi
MBUNGE wa Kwimba mkoani Mwanza, Shanif Mansoor (CCM), amewahakikishia wananchi wa Ngudu na Mhalo kwamba ifikapo Machi wataanza kupata majisafi kutoka Ziwa Victoria. Alisema kuanzia Juni hadi Oktoba, wakazi wa...
10 years ago
Vijimambo03 Oct
Wanafunzi 39 walazwa kunywa maji yenye petroli
Wanafunzi 39 wa Shule ya msingi ya Fahari jijini Dar es Salaam wanapatiwa matibabu katika Hospitali ya Zakhem, baada ya kunywa maji yanayohisiwa kuchanganywa na mafuta ya petroli.
Hata hivyo, wanafunzi watatu wanashikiliwa na Jeshi la polisi wakituhumiwa kuhusika na tukio hilo.Tukio hilo limetokea jana asubuhi wakati wakipata chai na kunywa maji hayo yaliyohifadhiwa kwenye plastiki maalum linalomilikiwa na shule hiyo.
Mwalimu wa zamu, Ali Elias, alisema tukio hilo limesababisha wanafunzi wa...
Hata hivyo, wanafunzi watatu wanashikiliwa na Jeshi la polisi wakituhumiwa kuhusika na tukio hilo.Tukio hilo limetokea jana asubuhi wakati wakipata chai na kunywa maji hayo yaliyohifadhiwa kwenye plastiki maalum linalomilikiwa na shule hiyo.
Mwalimu wa zamu, Ali Elias, alisema tukio hilo limesababisha wanafunzi wa...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanasayansi ‘Bongo’ kusafisha maji ya kinyesi kuwa ya kunywa
Umeshikwa na kiu? Unaingia katika duka lililo jirani na kununua maji ya chupa kwa ajili ya kunywa. Lakini ukapatwa na udadisi kutaka kujua maji hayo yametengenezwa na nini. Unaposoma kilichotumika kutengeneza maji hayo, unagundua kuwa yametengenezwa kwa kinyesi.
9 years ago
Bongo509 Sep
King Kaka aingiza sokoni maji ya kunywa, ‘Majik Walter’
Rapper kutoka nchini Kenya na mjasiriamali, King Kaka ameendelea kujikita zaidi kwenye biashara baada ya kuingiza bidhaa yake mpya ya maji sokoni. King Kaka ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake’Najipendelea’ aliowashirikisha G-Nako na Joh Makini, ameiambia 255 ya kipindi cha Clouds FM, XXL kuwa ameamua kutumia muziki wake kibiashara zaidi. Timu ya Kabras Rugby […]
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Wakimbizi wa Rohingya 'walazimika kunywa maji ya bahari kuokoa maisha' baada ya kufurushwa
Taifa la Malaysia lililifurusha boti lililokuwa limebeba mamia ya wakimbizi wa Rohingya , likihofia maambukizi ya virusi vya corona .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania