Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Mpanga walalamikia mpaka wa hifadhi ya Kipengele

 

Wakazi wa kata ya Mpanga Kipengele Wilaya ya Mbarali Mkoani mbeya, wamelalamikia shirika la Hifadhi ya Taifa Mpanga Kipengele, kuwafanyia vitendo vya unyanyasaji na kupora ardhi yao.

Mlalamiko hayo yametolewa katika mkutano wa hadhara uliohUsisha wananchi, uongozi wa Halmashauri ya Mji Rujewa na uongozi wa Hifadhi hiyo, mkutano ambao umelenga kumaliza mgogoro uliopo.

Katika mkutano huo, wananchi wakiongozwa na diwani wa kata hiyo Peter Vicent wamesema, wameshtushwa na kuona mpaka unazidi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kitanga walalamikia unyanyasaji

WANAKIJIJI wa Kitanga,  wilayani Kisarawe, Pwani wamelalamikia vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiwa na Kampuni ya World Map inayojihusisha na upimaji wa ardhi katika maeneo hayo. Wakizungumza  katika mkutano uliowakutanisha wanakijiji na...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA BUGURUNI WALALAMIKIA KUONGEZEKA KWA UCHAFU

Mwenyekiti wa serikali za mitaa Buguruni-Madenge, Mwishehe Mbegete akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Rundo la uchafu pembeni mwa nyumba.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa manispaa ya Singida walalamikia uongozi kushindwa kuzoa taka ngumu

SAM_1999

Baadhi ya maghuba yaliyopo katika Manispaa ya Singida yakiwa yamefurika taka ngumu kwa muda mrefu sasa kama ambavyo Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bwana Joseph Mchina alivyokiri katika maelezo yake kushindwa kuzoa kutokana na magari ya kuzolea taka kuchelewa kufika.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_2002_1

 

Na Jumbe Ismailly, Singida      

WAKAZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida wameulalakia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kushindwa kuzoa taka kwenye maghuba ya kukusanyia taka ngumu zinazokusanywa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni lasitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa

DSC_5240

Baadhi ya wakazi wa mabonde ya Kinondoni wakiwa katika maeneo ya Mahakama Kuu ya Ardhi

Modewjiblog team

Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni limesitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa katika mahakama kuu ya ardhi.

Jaji wa mahakama kuu ya ardhi amemtaka wakili wa walalamikaji kuwasilisha mapema orodha ya walalamikaji wote 674 na majina yao kamili,anuani za makazi na nyumba zao na kisha shauli hilo litafikishwa Jumatatu, 11 January kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya...

 

9 years ago

StarTV

Mbeya, Njombe yaanza majadiliano kubadili pori la mpanga.

Mikoa ya Mbeya na Njombe kupitia vikao vya Kamati za Ushauri RCC itaanza mchakato wa mashauriano yanayolenga kuupima kwa mara nyingine mpango wa kulibadili pori la akiba la Mpanga Kipengere kuwa Hifadhi ya Taifa.

Hivi sasa Miaka mitano iliyopia wadau wa maeneo hayo walijadili na kuona umuhimu wa pori hilo kubadilishwa na kuwa hifadhi ya Taifa na kazi hiyo iliwekwa katika andiko la Mradi wa Kuboresha mtandao wa maeneo yaliyohifadhiwa kusini mwa Tanzania SPANEST.

Hata hivyo, ni miaka mitatu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yafungua tena kipengele cha usalama

Mtandao wa facebook umefungua tena kipengele chake cha usalama kufuatia mlipuko m'baya wa bomu lililowauawa takriban watu 32 kaskazini mashariki mwa mji wa Yola nchini Nigeria.

 

10 years ago

Dewji Blog

TGNP wapinga Rasimu kutoweka kipengele cha kumwajibisha Rais

IMG_0008

Katibu wa Kamati ya uchambuzi wa rasimu hiyo, Esther William (katikati) akisoma tamko la Wanaharakati wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) linaloratibiwa na TGNP Mtandao kwa waandishi wa habari jana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Badi Darusi na Hamadi Masudi Mjumbe (kushoto).

Na Mwandishi wetu

WANAHARAKATI wa ngazi ya jamii na washiriki wa Jukwaa la wazi la semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS), linaloratibiwa na mtandao wa kijinsia...

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto: Kipengele kilichotumika kunifukuza Chadema kilitungwa kwa ajili yangu

Zitto-KabweNa Fredy Azzah
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amevunja ukimya baada ya kuzungumzia tuhuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikielezwa juu yake, ikiwamo usaliti ndani ya chama chake na hatima yake ya siasa baada ya kutimuliwa.
Katika mahojiano haya, zitto anatoa maelezo yote juu ya tuhuma dhidi yake.
Swali: Mwaka 2009, ulitaka kugombea uenyekiti wa Chadema, uamuzi huo ulikuwa ni wako mwenyewe ama kuna watu nyuma yako walikushawishi kufanya hivyo?
Jibu: Chadema nilivyoingia kwenye uongozi...

 

9 years ago

Bongo5

Washindi wa tuzo za MOBO 2015 watangazwa, Si Davido wala Wizkid aliyeshinda kipengele cha Afrika

Mobo awards

Tuzo za MOBO 2015 (Music Of Black Origin) zimetolewa Jumatano ya Novemba 4 huko Leeds, Uingereza.

Fuse
Fuse ODG

Wasanii wa Afrika walikuwa wakishindana kwenye kipengele kimoja tu cha ‘Best African Act’ ambapo msanii aliyeibuka kidedea kwenye kipengele hicho ni Fuse ODG.

Fuse ODG amewashinda Wizkid, Davido, Patoranking, AKA, Yemi Alade, Moelogo, Mista Silva, Shatta Wale na Silvastone ambao walikuwa wakiwania kipengele hicho. Hakukuwa na msanii yeyote kutoka Afrika Mashariki aliyeingia kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani