Mbeya, Njombe yaanza majadiliano kubadili pori la mpanga.
Mikoa ya Mbeya na Njombe kupitia vikao vya Kamati za Ushauri RCC itaanza mchakato wa mashauriano yanayolenga kuupima kwa mara nyingine mpango wa kulibadili pori la akiba la Mpanga Kipengere kuwa Hifadhi ya Taifa.
Hivi sasa Miaka mitano iliyopia wadau wa maeneo hayo walijadili na kuona umuhimu wa pori hilo kubadilishwa na kuwa hifadhi ya Taifa na kazi hiyo iliwekwa katika andiko la Mradi wa Kuboresha mtandao wa maeneo yaliyohifadhiwa kusini mwa Tanzania SPANEST.
Hata hivyo, ni miaka mitatu...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Krismasi yaanza kubadili bei za bidhaa sokoni
9 years ago
MichuziTANAPA YAANZA KUBADILI MFUMO WA UTENDAJI KUTOKA KIRAIA KWENDA JESHI USU
Jumla ya wahifadhi 40 walihitimu mafunzo ya Awamu ya kwanza ya kubadili mfumo wa utendaji kazi kutoka ule wa kiraia kwenda wa jeshi usu kwa kwa viongozi maafisa wa ngazi ya kati “Transformation Leadership Course for Middle Cadre Wardens” yaliyofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi hivi karibuni.
Mfumo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VMd3oaOoRLg/XswZXktkdqI/AAAAAAALrgM/jJdiaP2CQAQe_OXQgSZKCWiD7WUgZ0jqACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Zahanati pasua kichwa Njombe yazinduliwa,yaanza kutoa huduma
Wakazi wa mitaa ya Sido na Buguruni halmashauri ya mji wa Njombe wameshindwa kuzuia hisia zao baada ya kukamilika ujenzi na kuzinduliwa kwa zahanati ya mitaa hiyo ambayo ujenzi ujenzi wake umesuasua kwa zaidi ya miaka 9.
Ujenzi huo ulioghalimu zaidi ya Mil 110 umechukua muda mrefu kukamilika kutokana na sababu mbalimbali matumizi mabaya ya fedha za ujenzi huku pia tofauti za kiitikadi zikitajwa kuwa kikwazo kikubwa katika eneo hilo.
Baadhi ya akina mama...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Tamasha Mbeya kubadili tabia za vijana bila shuruti
SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Mbeya (CPCT), wameamua kubadilisha tabia za vijana bila shuruti. Katika kubadilisha tabisa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s72-c/ATC+6.jpg)
ATCL yaanza safari za kwenda Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s1600/ATC+6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ifXMH8rB7nY/Uykfl8rXNyI/AAAAAAACc6g/rkYgWxy3jsw/s1600/ATC+7.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WXpoP3uxJtBW-I58Gx4ygwMMDTYrR7FpM--AO*LQ0UaiEq2GElx1kfVGHX3xHApUOyCez9LcWX6lJ4apn9JOD*/ATC1.jpg?width=650)
ATCL YAANZA SAFARI YA KWENDA MBEYA
9 years ago
StarTV21 Dec
Wakazi Mpanga walalamikia mpaka wa hifadhi ya Kipengele
Wakazi wa kata ya Mpanga Kipengele Wilaya ya Mbarali Mkoani mbeya, wamelalamikia shirika la Hifadhi ya Taifa Mpanga Kipengele, kuwafanyia vitendo vya unyanyasaji na kupora ardhi yao.
Mlalamiko hayo yametolewa katika mkutano wa hadhara uliohUsisha wananchi, uongozi wa Halmashauri ya Mji Rujewa na uongozi wa Hifadhi hiyo, mkutano ambao umelenga kumaliza mgogoro uliopo.
Katika mkutano huo, wananchi wakiongozwa na diwani wa kata hiyo Peter Vicent wamesema, wameshtushwa na kuona mpaka unazidi...
9 years ago
Michuzi14 Aug
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
![New Picture (13)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
![New Picture (14)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-14.png)
![New Picture (15)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-15.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI