Tetemeko lazua hofu ya tsunami Chile
Tetemeko linalofikia kiwango cha 8.0 katika Rikta, limeibua tahadhari ya janga la Tsunami katika eneo zima la Kusini Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Tetemeko la pili latokea Chile
Tetemeko la pili kubwa la ardhi limetokea Kaskazini mwa Chile saa 24 baada ya tetemeko lengine kutokea Jumatano na kuwaua watu sita
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbJZ7HXupe5ccSxH0VmpsOKdLm5GJlAEgHO2An7HvSFPAmx02HMR-QL3X9MN*32CYpphZ1BTThIFl8IH1gn-8n6W/mwanza.jpg?width=650)
BOMU LA KKKT MWANZA LAZUA HOFU
Stori: Mwandishi Wetu, Mwanza
SIKU chache baada ya kulipuka kwa kitu kilichosadikiwa kuwa ni bomu kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ya Ziwa Victoria, Makongoro Misheni, Mwanza, wananchi wameendelea kuishi kwa hofu kwa kutokea mlipuko mwingine. Kwenye mlipuko huo wa awali uliotokea Jumatatu iliyopita, mhudumu wa nyumba ya kulala wageni ya kanisa hilo, Benedata Alfred (25)...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu
Wongonjwa wengi ambao wamekuwa na tatizo la damu kuganda katika mishipa wamekuwa wakitumia dawa za kujaribu kuyeyusha damu hiyo na kufanya tatizo hilo lisilo la kawaida kuwa la kipekee.
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Indonesia wakumbuka Tsunami
Indonesia wanakumbuka maafa ya tsunami miaka kumi iliyopita ambapo watu zaidi ya laki mbili waliuawa.
11 years ago
Daily News16 Jan
Tsunami rumours are 'a fabrication'
Daily News
THE Tanzania Meteorological Agency (TMA) dismissed as baseless information being spread through social media over a possibility of Tsunami outbreak. A statement issued in Dar es Salaam by the TMA Public Relations Officer, Ms Monica Mutoni said that ...
10 years ago
TheCitizen18 Sep
SME Matters, The Innovation Tsunami
Any word that is used to describe too many things ends up losing meaning or rather its use becomes confusing and sometimes misleading.Â
10 years ago
Habarileo11 Aug
Magufuli: Subirini ushindi wa tsunami
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, amewahakikishia wana-CCM na Watanzaia kwa ujumla kuwa mwaka huu, chama kitapata ushindi wa Tsunami na si wa kishindo wala kimbunga.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Miaka 10 ya Tsunami, Tanzania inajifunza nini?
Miaka 10 iliyopita sikukuu ya Krismasi iliwatumbukia nyongo watalii waliokuwa wakishereheka katika eneo la Banda Aceh, Indonesia baada ya wengi kupigwa na dhoruba ya Tsunami na kufariki dunia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania