Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 10 ya Tsunami, Tanzania inajifunza nini?

Miaka 10 iliyopita sikukuu ya Krismasi iliwatumbukia nyongo watalii waliokuwa wakishereheka katika eneo la Banda Aceh, Indonesia baada ya wengi kupigwa na dhoruba ya Tsunami na kufariki dunia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

EAC inajifunza nini kwa sarafu ya EU?

>Mwishoni mwa Novemba mwaka jana, kikao cha 15 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jijini Kampala Uganda kilikubaliana kusaini mkataba wa kuanzisha mchakato wa kuwa na sarafu moja itakayotumika katika nchi zote wanachama wa jumuiya hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda miaka 20 baadaye nini kimebadilika?

Idhaa ya Kiswahili ya BBC itakuletea matangazo maalum kila siku kutoka Kigali kuanzia Jumatatu Tarehe 7 Aprili hadi Ijumaa tarehe 11 Aprili.

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 40 ya rekodi ya Bayi nini chakujivunia riadha

>Jana mkimbiaji wa zamani wa mbio za kati hapa nchini, Filbert Bayi alitimiza miaka 40 tangu alipovunja rekodi ya dunia katika mbio za mita 1500.

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 18 ya kifo cha Tupac wasanii mmejifunza nini?

Leo dunia nzima inaadhimisha miaka 18 ya kifo cha nguli wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kuitikisa dunia ya vijana kwa miaka isiyozidi minane akiwa kinara na kisha kuaga dunia kwa kupigwa risasi na mahasimu wake na kufariki dunia siku ya saba baada ya kupoteza damu nyingi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia wakumbuka Tsunami

Indonesia wanakumbuka maafa ya tsunami miaka kumi iliyopita ambapo watu zaidi ya laki mbili waliuawa.

 

11 years ago

Daily News

Tsunami rumours are 'a fabrication'


Tsunami rumours are 'a fabrication'
Daily News
THE Tanzania Meteorological Agency (TMA) dismissed as baseless information being spread through social media over a possibility of Tsunami outbreak. A statement issued in Dar es Salaam by the TMA Public Relations Officer, Ms Monica Mutoni said that ...

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli: Subirini ushindi wa tsunami

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, amewahakikishia wana-CCM na Watanzaia kwa ujumla kuwa mwaka huu, chama kitapata ushindi wa Tsunami na si wa kishindo wala kimbunga.

 

11 years ago

TheCitizen

SME Matters, The Innovation Tsunami

Any word that is used to describe too many things ends up losing meaning or rather its use becomes confusing and sometimes misleading. 

 

5 years ago

Zitto Kabwe, MB

Nini kifanyike Tanzania?

Nini kifanyike Tanzania?

Zitto Kabwe

nyerere

Hali yetu ya sasa
Ni dhahiri kuwa hofu imetanda miongoni mwa Watanzania. Ingawa watawala na mashabiki wao hukanusha jambo hili, ukweli ni kuwa nina amini wao wenyewe ndani ya mioyo yao wanakiri kuwa nchi sasa inaendeshwa kwa hofu na wananchi wamejaa hofu kubwa.

Hivi sasa mwananchi akifanya jambo lolote linaloonekana kuwa kinyume na fikra za watawala, wenzake wanamtazama kwa jicho kuwa atakuwa mhanga wa vitisho, mateso, kutekwa, kupotea ama kubambikiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani