Rwanda miaka 20 baadaye nini kimebadilika?
Idhaa ya Kiswahili ya BBC itakuletea matangazo maalum kila siku kutoka Kigali kuanzia Jumatatu Tarehe 7 Aprili hadi Ijumaa tarehe 11 Aprili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZZ998HpYfJfdvdrIbUpJ5icyKWXYPMhmXKda-kDQK06RB6AE8WNooKGv-oSoDy0wFC*JdXuNw2kvSdMhfwGPUzv/mahaba.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -6
Gaudensia: “Kwa hiyo umeacha makusudi ili kunithibitishia kuwa ulikuwa ukitembea na wanawake ovyoovyo?†Reina: “Siyo kutembea ovyoovyo, kwani wewe ulitegemea muda huo wote ningekuwa bila mwanamke? Acha utani kabisa, hata wewe kule Dodoma mimi nitajuaje kama siku zote hukuwa na wanaume? Tena nyie wanafunzi wa Udom kwa wabunge ndiyo zenu.†Baada ya kuzungumza hivyo, Gaudensia alianza kufanya usafi kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3XZTPjbLZuzzq34ezxHPtECc9Kqw-S79TqbjV8njx382q6kcURDC80LnfbBTYOlrndeue-3VJjAn6Mc7aIAiNP/Womancomputerupset1.jpg?width=650)
UNAJIAMINI NINI HADI UJINYIME KWA AJILI YA MAISHA YA BAADAYE?
Kwanza niwashukuru wasomaji wangu ambao wamekuwa wakinipongeza kutokana na yale ambayo nimekuwa nikiyaandika kupitia safu hii. Mmoja wa wasomaji hao ni Nasra wa Kilombero ambaye ni mfanyabiashara. Kwa nini nimpe shukrani za kipekee? Hivi karibuni alinipigia simu na kuniambia: “Nakushukuru, mada zako zimenisaidia sana, nimekuwa nikifanyia kazi unayoandika na hakika maisha yangu yamebadilika, asante na Mungu akubariki.â€...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqzNjOhsfnnXgiyUwogvM8LxKgCtolEcnG7Xx-HAeGLX5ijCYnu3aiclzPczIoA1ppoQL*zPfnzpvV4X2yn6VbCA/mahaba.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -7
Janga kuu ambalo limeendelea kusumbua ni kuwa mtu akiwa nacho anaweza kukifuja utadhani hakitaondoka. Ni kosa kubwa kushindwa kumtunza mwenzi wako kwa kiburi tu kuwa kwako ameshafika na hataondoka. Usicheze na moyo wa mwenzio. Usifanye majaribio ya kujuta baadaye. Kufanya jambo lolote la maudhi kwa mwenzi wako kwa makusudi ni jaribio la wewe kujuta baadaye. Unayemuudhi ni binadamu, ana moyo kama ulionao wewe. Siku atakapofanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04atJJlc1wjeHZ9uM*hKH0h6oo1VMt7iDuZUZLw*b8875PdBlwL4FD9osvxNBoGpwYaCa21Q-*8M4bLbgc3b00kn0/mahaba.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -8
Tunaendelea na mada yetu ambayo tulianza nayo wiki kadhaa zilizopita. Lengo ni kuwekana sawa katika suala zima la mapenzi ili asiwepo wa kuja kujuta baadaye kwa sababu alishindwa kutimiza wajibu wake kwa ampendaye. Tunaendelea na mifano ya jinsi kushindwa kutimiza wajibu kunavyoweza kuleta athari. Endelea... akuishia hapo, Hawa akaanzisha uhusiano wa pembeni na wanaume wengine. Matali alipoona mambo magumu, ikabidi aachie ngazi....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq19J3MU9FjIvdXTPbuDa9NRtxadDu*Kbn2qL6H*TJ5zoLmGx88-cEgepM8T1nh3Kt-9RGyFdl2Gz7M4iIfjFDNyB/lv.jpg?width=650)
KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -3
MSINGI wa makala haya ni kukutaka ubaki njia kuu. Usiupuuze uhusiano wako unaokupa faraja kwa tamaa za muda mfupi. Tupo sehemu ya tatu, na ni imani yangu kubwa kwamba mwisho wa somo hili, utajifunza kitu kikubwa sana. Ni ukweli ulio wazi kuwa huna sababu ya kujuta, badala yake unachotakiwa kufanya ni kutimiza wajibu wako leo. Siku zote ni lazima ukumbuke kuwa mapenzi uliyonayo au unayopata kutoka kwa mwenzi wako hivi sasa,...
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Rufaa ya mfungwa miaka 46 baadaye
Raiya mmoja kutoka Japan amepata rufaa ya kusikizwa kwa kesi iliyomfunga miaka 46 iliyopita
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Mateka wa Iran kulipwa miaka 36 baadaye
Wamarekani waliozuiliwa mateka nchini Iran watalipwa fidia miaka 36 baada ya kisa hicho, ripoti zinasema.
11 years ago
BBCSwahili29 May
Muziki wa Hip Hop miaka 40 baadaye
Mchipuko, wasanii na historia ya miaka arobaini ya muziki wa Hip Hop. Nini kimebadilika?
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Uchaguzi wa Haiti wafanyika miaka 4 baadaye
Wananchi wa Haiti wanashiriki kwenye uchaguzi wa wabunge leo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania