BOMU LA KKKT MWANZA LAZUA HOFU
![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbJZ7HXupe5ccSxH0VmpsOKdLm5GJlAEgHO2An7HvSFPAmx02HMR-QL3X9MN*32CYpphZ1BTThIFl8IH1gn-8n6W/mwanza.jpg?width=650)
Stori: Mwandishi Wetu, Mwanza SIKU chache baada ya kulipuka kwa kitu kilichosadikiwa kuwa ni bomu kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ya Ziwa Victoria, Makongoro Misheni, Mwanza, wananchi wameendelea kuishi kwa hofu kwa kutokea mlipuko mwingine. Kwenye mlipuko huo wa awali uliotokea Jumatatu iliyopita, mhudumu wa nyumba ya kulala wageni ya kanisa hilo, Benedata Alfred (25)...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Bomu lazua taharuki uwanjani Dortmund
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Tetemeko lazua hofu ya tsunami Chile
11 years ago
Habarileo08 May
KKKT walaani mlipuko wa bomu usharika wa Imani
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria, limelaani kulipuka kwa bomu katika usharika wa Kanisa Kuu Imani, eneo la Nyumba ya Kupumzikia na Kusababisha mtu mmoja kujeruhiwa.
10 years ago
StarTV12 Jan
Kuelekea uchaguzi mkuu, KKKT yaingiwa hofu.
Na Zephania Renatus,
Moshi.
Wakati Taifa likielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT limeeleza hofu yake ya kupatikana kwa viongozi bora watakaokuwa chaguo la watanzania walio wengi.
Hofu hiyo imekuja baada ya madai ya kuwepo kwa maandalizi hafifu ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura pamoja na upatikanaji wa katiba pendekezwa kwa wananchi ambayo inaelezwa kutowafikia wananchi walio wengi ili waweza kuisoma na kuielewa...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZClyqvb55X9PJSyZ6C9GNCVopoaF3ECQwqLNDxTJ8GTEoIJKtyuge8*0Zv2ZtB1udbLxVQqroMc7caYXBr*TvgPS/BACKAMANI.jpg?width=650)
HOFU YA BOMU MLIMANI CITY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5POnkQBvbazsbFm24D3drZxHdP6A-JniMkkZh36dWs6g3O5PRzpo6F2BpRqGn1C8Dne4lKLph4POgzXdaczpvCm/BACKIJUMAA.jpg?width=650)
HOFU YA BOMU YATIKISA CHUO KIKUU DAR
11 years ago
Mwananchi08 May
KKKT watoa tamko Kanisa la Mwanza
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura…
Matukio ya ajali za ndege yalichukua headlines katika vyombo mbalimbali vya habari duniani. Kuna hii nyingine inayohusisha ndege ya abiria aina ya Air France Boeing 777 AF463, iliyokuwa ikifanya safari zake kati ya Mauritius na Paris ambapo imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta baada ya kuwepo hofu ya bomu. […]
The post Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura… appeared first on TZA_MillardAyo.