KKKT walaani mlipuko wa bomu usharika wa Imani
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria, limelaani kulipuka kwa bomu katika usharika wa Kanisa Kuu Imani, eneo la Nyumba ya Kupumzikia na Kusababisha mtu mmoja kujeruhiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 UJENZI WA KANISA LA KKKT USHARIKA WA MATOSA

9 years ago
MichuziDK. KIMEI AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA LA KKKT USHARIKA WA SIHA MKOANI KILIMANJARO

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiijili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Cuthbert Temba akiongoza ibada.


5 years ago
Michuzi
Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato






11 years ago
GPL
BOMU LA KKKT MWANZA LAZUA HOFU
Stori: Mwandishi Wetu, Mwanza
SIKU chache baada ya kulipuka kwa kitu kilichosadikiwa kuwa ni bomu kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ya Ziwa Victoria, Makongoro Misheni, Mwanza, wananchi wameendelea kuishi kwa hofu kwa kutokea mlipuko mwingine. Kwenye mlipuko huo wa awali uliotokea Jumatatu iliyopita, mhudumu wa nyumba ya kulala wageni ya kanisa hilo, Benedata Alfred (25)...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viongozi wa dini walaani mauaji ya bomu Z’bar
Kamati ya Amani na Uhusiano wa viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini Mkoa wa Tanga imelaani kitendo cha ulipuaji wa bomu mjini Unguja uliosababisha kifo cha mtu mmoja.
11 years ago
GPL
MLIPUKO WA BOMU ZANZIBAR
HABARI ambazo mtandao huu umezipata sasa hivi kutoka Zanzibar zinasema kuna mlipuko umetokea Zanzibar karibu na Kanisa la Anglikana. Polisi wameshafika eneo la tukio na madhara yake bado hayajajulikana. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde!
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Mlipuko wa bomu Mogadishu wawauwa 3
Bomu moja lililokuwa limefichwa katika mfuko wa plastiki limelipuka katika mji mkuu wa Somali ,Mogadishu.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mlipuko wa bomu wawaua 30 Yemen
Mlipuko mmoja umetokea katika gari nje ya chuo cha mafunzo ya Polisi katika mji mkuu wa Yemen-Sanaa.
10 years ago
GPL
MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA
WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania