Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetemeko la pili latokea Chile

Tetemeko la pili kubwa la ardhi limetokea Kaskazini mwa Chile saa 24 baada ya tetemeko lengine kutokea Jumatano na kuwaua watu sita

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TETEMEKO LA ARDHI LATOKEA DODOMA, TANZANIA

2 November 2014

Tanzania: 5.1 Earthquake Hits Dodoma

An earthquake hit 55 kilometres south-southeast of Kondoa District in Dodoma on Friday.

It was a sizeable quake,and its effects were felt in several surrounding areas,though damage was minimal. According to a report posted on US National Earthquake Information Centre (NEIC) on Saturday, the quake registered a magnitude of 5.1 and a depth of just 10 kilometers.

The region has experienced nine seismic events in the last four years of a magnitude...

 

9 years ago

BBCSwahili

Chile yapigwa na tetemeko

Serikali yahamisha wakazi wa eneo la Pwani takriban milioni moja

 

11 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lazua hofu ya tsunami Chile

Tetemeko linalofikia kiwango cha 8.0 katika Rikta, limeibua tahadhari ya janga la Tsunami katika eneo zima la Kusini Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil kuchuana na Chile raundi ya pili

Brazil iliifunga cameroon 4-1 na kuiongoza kundi A ambapo sasa itachuana na Chile.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI

Makamu wa Pili wa Rais Balozi Zanzibar Seif Ali Iddi akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Barabara ya Amani- Mtoni kwa awamu ya pili ya ujenzi wake katika shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar. (kushoto alievaa kofia ya pama) Katibu Mkuu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Juma Malik Akili.Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua Barabara ya Mkapa iliopo Amani-Mtoni ikiwa ni shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAOMBWA KULIINGIZA ZAO LA PILI PILI KICHAA KWENYE MAZAO YA KIMKAKATI.


Mhandishi na mkulima wa Manguajuki manispaa ya Singida,akikagua pilipili kichaa.Bei ya pilipili kichaa kilo ni shilingi 5,000 kwa kilo. Sehemu ya ekari tano za shamba la pilipili kichaa la mhandisi/mkulima wa Manguanjuki manspaa ya SingidamHassan Tati. Mmoja kati ya miche ya mapapai iliyopo kwenye shamba la pilipili kichaa linalomilikiwa na mhandisi/mkulima Haasan Tati mkazi wa Manguanjuki nje kidogo ya mji wa Singida.Mhandisi na mkulima na mkazi wa Manguanjuki manispaa ya ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tetemeko la ardhi lakumba Afghanistan

Tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 6.3 limekumba maeneo ya kaskazini mwa Afghanistan, na kuathiri maeneo ya mbali hadi India

 

11 years ago

GPL

TETEMEKO LAUA 150 CHINA

TAKRIBANI watu 150 wamepoteza maisha huku 1,400 wakijeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea katika Jimbo la Yunnan lililopo kusini-magharibi mwa China leo. Tetemeko hilo lililokuwa na ukubwa wa richa 6.5 limesababisha kubomoka kwa majengo yakiwemo mashule. Waokoaji wakiwa wamembeba mtoto aliyejeruhiwa baada ya tetemeko hilo.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lauwa wengi Uchina

Uchina yasema tetemeko kusini-magharibi mwa nchi limeuwa watu wengi na kusababisha uharibifu mkubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani