Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TETEMEKO LAUA 150 CHINA

TAKRIBANI watu 150 wamepoteza maisha huku 1,400 wakijeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea katika Jimbo la Yunnan lililopo kusini-magharibi mwa China leo. Tetemeko hilo lililokuwa na ukubwa wa richa 6.5 limesababisha kubomoka kwa majengo yakiwemo mashule. Waokoaji wakiwa wamembeba mtoto aliyejeruhiwa baada ya tetemeko hilo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko jipya Nepal laua watu 40

Tetemeko jipya lililotokea Nepal limeua zaidi ya watu 40.na helkopta ya kikosi cha majini ya Marekani,haijulikani iliko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal

Watu zaidi ya 3,600 wameripotiwa kufa kutokana na tetemeko la ardhi nchini Nepal lililoikumba nchi hiyo Jumamosi

 

11 years ago

BBCSwahili

Waliokufa kwa tetemeko china ni 380

Wafanyakazi wa Uokoaji nchini China wanaendelea kujitahidi kufikia eneo la lilipigwa na tetemeko la ardhi katika jimbo la Yunnan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chile yapigwa na tetemeko

Serikali yahamisha wakazi wa eneo la Pwani takriban milioni moja

 

11 years ago

BBCSwahili

Tetemeko la pili latokea Chile

Tetemeko la pili kubwa la ardhi limetokea Kaskazini mwa Chile saa 24 baada ya tetemeko lengine kutokea Jumatano na kuwaua watu sita

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lawaua watu 40 Nepal

Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko la Nepal kabla na baada

Picha zinazoonyesha athari ya tetemeko lililokumba mji wa Kathmandu,Nepal pamoja na viunga vyake

 

11 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lauwa wengi Uchina

Uchina yasema tetemeko kusini-magharibi mwa nchi limeuwa watu wengi na kusababisha uharibifu mkubwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Watalii 8 'walisababisha' tetemeko la ardhi

Watalii waliopiga picha za uchi wakiwa mlimani wanalaumiwa kwa tetemeko la ardhi lililokumba Malaysia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani