TETEMEKO LAUA 150 CHINA
![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0tiN7ElN-uRY40yiSu49xQI4wfawP*xiv1UrCOxkIAeecAood57Htvao10-7VJHdw1uZpR20sK9H4MDuo*OHmltA/tetemekochina.jpg?width=650)
TAKRIBANI watu 150 wamepoteza maisha huku 1,400 wakijeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea katika Jimbo la Yunnan lililopo kusini-magharibi mwa China leo. Tetemeko hilo lililokuwa na ukubwa wa richa 6.5 limesababisha kubomoka kwa majengo yakiwemo mashule. Waokoaji wakiwa wamembeba mtoto aliyejeruhiwa baada ya tetemeko hilo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko jipya Nepal laua watu 40
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Waliokufa kwa tetemeko china ni 380
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Tetemeko la pili latokea Chile
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko lawaua watu 40 Nepal
10 years ago
BBCSwahili07 May
Tetemeko la Nepal kabla na baada
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Tetemeko lauwa wengi Uchina
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Watalii 8 'walisababisha' tetemeko la ardhi