Waliokufa kwa tetemeko china ni 380
Wafanyakazi wa Uokoaji nchini China wanaendelea kujitahidi kufikia eneo la lilipigwa na tetemeko la ardhi katika jimbo la Yunnan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0tiN7ElN-uRY40yiSu49xQI4wfawP*xiv1UrCOxkIAeecAood57Htvao10-7VJHdw1uZpR20sK9H4MDuo*OHmltA/tetemekochina.jpg?width=650)
TETEMEKO LAUA 150 CHINA
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Idadi ya waliokufa China yaongezeka
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4E-JB2WyMDQ/VcytA93NwjI/AAAAAAABTsc/E8RnTKQcJb0/s72-c/3a59cde0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_823621262415.jpg)
WALIOKUFA MLIPUKO WA CHINA WAFIKIA WATU 50, MAJERUHI 700
![](http://1.bp.blogspot.com/-4E-JB2WyMDQ/VcytA93NwjI/AAAAAAABTsc/E8RnTKQcJb0/s640/3a59cde0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_823621262415.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iGPexHxb8Q4/VcytDok459I/AAAAAAABTtA/ic5HTmBUF_E/s640/Part-HKG-Hkg10201885-1-1-0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t0en-grhM6M/VcytC1OrLKI/AAAAAAABTso/gZPPOHL7Bqs/s640/3f308340-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_79637596873.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-luzbe7f1IDI/VcytCofyjBI/AAAAAAABTs8/-f-cPWHUXqI/s640/29e56b333610f1247e0f6a7067003e1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ewj7fAAtwCg/VcytCgjJ3rI/AAAAAAABTsk/w7M6wkpYADo/s640/37257de0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_GettyImages-483769984.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HhWoeXHxfEE/VcytEUF-RdI/AAAAAAABTtE/zpNVexrwD74/s640/a2fd49d53607f1247e0f6a706700df53.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-zPiMKXqJx70/VmE9Dg9GRbI/AAAAAAAIKGU/CdHlKZVvn_E/s72-c/Al-xiNB3OME5EsJ8T06703pvKR2QT1q4QD_uJ_Mdi_Xw.jpg)
WANYAMA 380 WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA MAGARI NDANI YA MWAKA MMOJA 2019
![](https://4.bp.blogspot.com/-zPiMKXqJx70/VmE9Dg9GRbI/AAAAAAAIKGU/CdHlKZVvn_E/s1600/Al-xiNB3OME5EsJ8T06703pvKR2QT1q4QD_uJ_Mdi_Xw.jpg)
WANYAMA 380 wamekufa kwa kugongwa na magari ndani ya mwaka mmoja 2019 katika eneo la mapito ya wanyama kuanzia Magugu wilayani Babati hadi Makuyuni wilayani Monduli ambayo husaidia wanyama kwenda hifadhi ya tarangire na hifadhi ya Manyara.
Mtafiti wa wanyamapori katika mradi wa Simba Tarangire, Dk Bernard Kissui alitoa taarifa hizo juz katika kikao cha kujadili kuokoa eneo la mapito ya wanyama kwa kuchinja hadi Mdori ambalo linaendelea kuvamiwa .
Dk Kissui alisema kati ya januari hadi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EOrf7lBf9t0/XsIU0zNlFUI/AAAAAAALqmM/G9Nwz_wBM7ANzGzskugkMGBszSI7LauWgCLcBGAsYHQ/s72-c/1c10824a-0f85-4ea0-b148-d1b3abf1cf08.jpg)
HAKUNA WATU 92 WALIOKUFA KWA CORONA MOROGORO KWA WIKI MOJA ILIYOPITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EOrf7lBf9t0/XsIU0zNlFUI/AAAAAAALqmM/G9Nwz_wBM7ANzGzskugkMGBszSI7LauWgCLcBGAsYHQ/s640/1c10824a-0f85-4ea0-b148-d1b3abf1cf08.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7dea6f50-0035-4245-8825-e6cd20fa68bd.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/24f03ee8-9de5-44be-b74b-422f32f8272f.jpg)
************************************
Na. WAMJW-Morogoro
Serikali imekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii zinazosema kuwa watu 92 wamekufa mkoani kwa corona katika kipindi cha wiki moja iliyopita na kuzikwa kwenye makaburi ya Kola yaliyopo katika manispaa ya Morogoro
Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi mkoani hapa mara baada ya kutembelea eneo hilo la makaburi na kufanya uchunguzi wa kuyaona makaburi hayo kama yanavyotangazwa
“Kumekuwepo na...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Idadi ya waliokufa kwa Ebola yaongezeka
10 years ago
Mtanzania12 May
Waliokufa kwa mafuriko Dar wafikia 12
Asifiwe George na Mgeni Shabani (EWTC)Dar es Salaam
IDADI ya watu waliofariki dunia kutokana na athari za mvua na mafuriko Dar es Salaam imeongezeka kutoka wanane na kufikia 12.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema jana kuwa kati ya watu hao mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 35-38, mwili wake ulipoolewa baada ya kuzama kwenye tope katika mto Msimbazi, Magomeni.
Alisema mwili huo wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV1Kn-Hvgcv5ui95TDYzrtjvyfOrBmlM2dTP5pITf-ro7MkfyVuqWUtgA9owYaRsFyMv*cTLARed1-jBp3AcZbyj/EBOLADEATH.jpg)
WHO: WALIOKUFA KWA EBOLA WAFIKIA 8,795