MKENYA OGWAYO KUCHEZESHA STARS, BURUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-kFpJhHU0hpI/U1kvH6CwyaI/AAAAAAAFcsA/LvtRtj9k19U/s72-c/isaa_kagabo.jpg)
Mwamuzi Anthony Ogwayo mwenye beji ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kutoka Kenya ndiye atakayechezesha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Burundi (Intamba Mu Rugamba) itakayochezwa keshokutwa (Aprili 26 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ogwayo katika mechi hiyo ya maadhimisho ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, atasaidiwa na Gilbert Cheruiyot na Oliver Odhiambo wote pia kutoka Kenya. Mwamuzi wa mezani atakuwa Israel Mujuni wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Burundi yainyuka Stars
10 years ago
TheCitizen09 Dec
Stars take on Burundi in friendly
11 years ago
GPLBURUNDI YAIKANDAMIZA STARS 3-0
10 years ago
TheCitizen07 Sep
Stars confront Burundi today
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX2ciM3i*PBJuZMv47qrEq*pOEGXBWvBYN-V5Yb4xHStedpJE9oU*AXX95xci4oDBPV2NbKKBRKeqp6dgU5Kj9dx/burundi.jpg?width=650)
BURUNDI YAWASILI KUIKABILI TAIFA STARS
10 years ago
TheCitizen10 Dec
Misery as Burundi spoil Stars’ party
10 years ago
TheCitizen29 Aug
New date fixed for Burundi, Stars friendly
11 years ago
Michuzi22 Apr
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Taifa Stars yanyoosha mikono kwa Burundi
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilishindwa kutamba kwa mara nyingine mbele ya Burundi, baada ya kulimwa mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa mjibu Bujumbura....