Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BURUNDI YAIKANDAMIZA STARS 3-0

Rashid Leon wa Burundi (kulia) akijaribu kuwatoka wachezaji wa Stars. Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza mtanange dhidi ya Burundi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UFARANSA YAIKANDAMIZA HONDURAS 3-0

Mshambuliaji wa Ufaransa, Karim Benzema akiifungia Ufaransa bao la kwanza dhidi ya Honduras. Wilson Palacios wa Honduras akipewa kadi nyekundu baada ya kumchezea faulo Paul Pogba.…

 

10 years ago

Mwananchi

Burundi yainyuka Stars

Tanzania imeendeleza uteja wake kwa Burundi baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Taifa Stars ikiwakilishwa na wachezaji wengi wa majaribio.

 

10 years ago

TheCitizen

Stars take on Burundi in friendly

The national team (Taifa Stars) this evening play Burundi’s Intamba mu Rugamba in a friendly battle at the National Stadium.

 

11 years ago

GPL

YANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kulia) akikwaana na beki wa Kagera Sugar. Baadhi ya wachezaji wa Yanga kutoka kushoto ni: Simon Msuva, Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa na Oscar Joshua wakishangila ushindi wa leo dhidi ya Kagera Sugar.…

 

10 years ago

TheCitizen

Stars confront Burundi today

>Mart Nooij charges will be subjected to another test this evening when the national team, Taifa Stars, lock horns with Burundi in an international friendly in Bujumbura.

 

10 years ago

StarTV

U21 Ulaya, Italia yaikandamiza Uingereza 3-1.


Timu ya Italia ikishangilia bao.

Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.

Italia walianza kuandika bao lao la kwanza dakika ya 25 ya mchezo, kwa bao la Andrea Belotti Kabla ya Marco Benassi kuongeza mengine mawili dakika ya 27 na 72.

Nathan Redmond akaifungia timu yake ya England bao la kufutia machozi baada ya kazi nzuri liliyofanya na kiungo Ruben Loftus-Cheek.

Katika mchezo mwingine wa michuano hii Ureno walikwenda sare...

 

11 years ago

Michuzi

MKENYA OGWAYO KUCHEZESHA STARS, BURUNDI

Mwamuzi Anthony Ogwayo mwenye beji ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kutoka Kenya ndiye atakayechezesha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Burundi (Intamba Mu Rugamba) itakayochezwa keshokutwa (Aprili 26 mwaka huu)  Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ogwayo katika mechi hiyo ya maadhimisho ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, atasaidiwa na Gilbert Cheruiyot na Oliver Odhiambo wote pia kutoka Kenya. Mwamuzi wa mezani atakuwa Israel Mujuni wa...

 

11 years ago

GPL

BURUNDI YAWASILI KUIKABILI TAIFA STARS

Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba). Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba) inatarajiwa kuwasili nchini kesho (Aprili 24 mwaka huu) saa 12 jioni kwa ndege ya Kenya Airways tayari kwa mechi dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumamosi (Aprili 26 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Intamba Mu Rugamba itakuwa na msafara wa watu 28 wakiwemo wachezaji, benchi la ufundi na viongozi, na itafikia hoteli ya...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani