U21 Ulaya, Italia yaikandamiza Uingereza 3-1.
Timu ya Italia ikishangilia bao.
Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.
Italia walianza kuandika bao lao la kwanza dakika ya 25 ya mchezo, kwa bao la Andrea Belotti Kabla ya Marco Benassi kuongeza mengine mawili dakika ya 27 na 72.
Nathan Redmond akaifungia timu yake ya England bao la kufutia machozi baada ya kazi nzuri liliyofanya na kiungo Ruben Loftus-Cheek.
Katika mchezo mwingine wa michuano hii Ureno walikwenda sare...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Italia yavunja tena rekodi, watu 793 wafa siku moja kwa corona, Ulaya yazidi kulemewa na vifo na maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s640/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Shirika la ha habari la Tasnim limelinukuu shirika la habari la AFP likitangaza habari hiyo na kuongeza kuwa, Wakala wa Kuwalinda Raia wa Italia ulisema jana kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kirusi cha corona nchini humo ilikuwa ni 793...
11 years ago
GPLBURUNDI YAIKANDAMIZA STARS 3-0
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm94Ho-wIRZs4bHuq9kbbP1HfWUAJiemESXwIQoQwc9-33n8DrOPp8HkEy1WbqExwRullWrBrm1ClrQS58KK5DfR/benzema.jpg)
UFARANSA YAIKANDAMIZA HONDURAS 3-0
11 years ago
GPLYANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Shindano la Serengeti Masta lawasha moto Ulaya Ulaya Bar ya Manzese
Mshereheshaji wa shindano la Serengeti Premium Lager liliopewa jina la “Serengeti Masta” Razani Kapalatu akiwa pamoja na mabalozi wa bia ya Serengeti premium Lager ambao kwa pamoja walitoa maelezo kwa wateja wa bia hiyo waliofika kushiriki katika shindano la kumtafuta Serengeti Masta ndani ya baa ya Ulaya Ulaya iliyopo Manzese jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Shindano hilo limedumu jijini Dar na mikoani kwa takriban muda wa miezi miwili sasa na kuweza kuzifikia baa mbalimbali ambapo...
10 years ago
VijimamboSPIKA KIFICHO AMSHUKURU MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE LA ULAYA YA USHIRIKIANO WA BUNGE LA ULAYA NA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Italia yainyuka England
10 years ago
Mtanzania19 May
Mtanzania amfuata Tevez Italia
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI Haji Ungando ametua katika timu ya Atalanta inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Italia ‘Serie A’, kufanya majaribio ya siku 10 baada ya timu hiyo kuvutiwa naye.
Kinda huyo akifanikiwa kusajiliwa na Atalanta inayoshika nafasi ya 17 Serie A, ataungana na washambuliaji wakubwa duniani kama Carlos Tevez (Juventus), Gonzalo Higuain (Napoli), Francesco Totti (Roma) wanaokipiga kwenye ligi hiyo.
Mmiliki wa kituo cha kukuza vipaji cha Jaki Sports Academy,...