Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shindano la Serengeti Masta lawasha moto Ulaya Ulaya Bar ya Manzese

CAMPIX PRODUCTION

Mshereheshaji wa shindano la Serengeti Premium Lager liliopewa jina la “Serengeti Masta” Razani Kapalatu akiwa pamoja na mabalozi wa bia ya Serengeti premium Lager ambao kwa pamoja walitoa maelezo kwa wateja wa bia hiyo waliofika kushiriki katika shindano la kumtafuta Serengeti Masta ndani ya baa ya Ulaya Ulaya iliyopo Manzese jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Shindano hilo limedumu jijini Dar na mikoani kwa takriban muda wa miezi miwili sasa na kuweza kuzifikia baa mbalimbali ambapo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Shindano la Serengeti Masta lahitimishwa kanda ya ziwa

2b

Mshindi wa jumla washindanola Serengeti Masta kwa wakazi wa kanda ya ziwa Said Kanolo (kushoto) akipokea fedha taslim Tsh. 100,000/= kutoka kwa Afisa mauzo wa Kampuni ya bia ya Serengeti Joan Semguruma, (kulia) wakati wa shindano la mwisho kwa kanda ya ziwa la bia hiyo lililofanyika katika baa ya Shooters iliyopo Barabara ya Airport jijini Mwanza. Ushindi wa jumla wa Bw. Kanolo kwa wateja wa kanda ya ziwa umekuja baada ya kuwashinda wateja wengi walioshiriki katika kutambua ladha halisi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shindano la Serengeti Masta lahitimishwa jiji la Mbeya na Arusha

3

Mshiriki wa shindano la Serengeti Masta na mkazi wa Arusha Daniel Mwakasungule akionja ladha tofauti za bia zilizo mbele ya meza yake ili kuitambua ladha halisi ya bia ya Serengeti Premium Lager katika shindano la kumpata Serengeti Masta wa mkoa wa Arusha ambalo lilifanyika katika Baa ya Bondeni, Kijenge juu jijini Arusha mwishoni mwa wiki hii.

5

Mkazi wa Arusha na mpenzi wa bia ya Serengeti Premium Lager, Laota Elias akishiriki katika shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta wa jumla...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shindano la Serengeti Masta lafana katika baa ya Meridian Kinondoni

1

Mmoja wa wateja wa bia ya Serengeti aliyefahamika kwa jina la Mwasiti Masauni (wa kwanza kulia) akichagua karatasi ya maswali ili kujiwezesha kushinda kiasi cha Tsh. 50,000/= (Elfu Hamsini), wakati wa shindano la kumtafuta Serengeti Masta wa baa ya Meridan iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam. Shindano hilo ambalo linazunguka baa kwa baa jijini Dar es salaam na mikoani lina lengo la kuwatafuta washindi mbalimbali wanaoweza kuitambua ladha halisi ya bia ya Serengeti na hatimaye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yahitimisha kampeni ya “Serengeti Masta” kwa kishindo jijini Dar

CAMPIX PRODUCTION

Mshiriki wa shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta kwa wilaya ya Temeke Emmanuel Nyaulingo (kulia) akipokea zawadi ya fulana kabla ya shindano hilo kuanza rasmi ambalo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar es salaam. (kushoto) ni balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Caroline Vincent na anayeshudia (katikati) ni mshereheshaji wa shindano hilo Richard Godwin. Kampeni hiyo inafikia tamati jijini Dar es salaam baada ya kumalizika mikoani pia...

 

10 years ago

Vijimambo

SPIKA KIFICHO AMSHUKURU MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE LA ULAYA YA USHIRIKIANO WA BUNGE LA ULAYA NA TANZANIA

Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho akimkabidhi zawadi Mhe. David Martin Mjumbe wa Kamati ya Bunge la Ulaya ya Ushirikiano kati ya Bunge la Ulaya, Baraza la Wawakilishi na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

RADIO DW-BONN YAMUHOJI KAMANDA RAS MAKUNJA,AZUNGUMUZIA MAFANIKIO NA CHANGA MOTO ZA MUZIKI WA KIAFRIKA BARANI ULAYA



 Bonn,Asubuhi na mapema tu Radio Deutch Welle Idhaa ya Kiswahili inayorusha matangazo yake mjiniBonn,ujerumani, alimwamkia mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja kiongozi wa bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni.katika mahojianona mtangazaji mahiri Bi.Swaumu Mwasimba wa radio DW na kipindi cha muziki na utamaduniKamanda Ras Makunja anazungumzia mafanikio na changamoto za muziki wa kiafrika barani ulaya.pia amezungumizia jinsi muziki wa kiswahili...

 

11 years ago

GPL

MOTO WATEKETEZA MADUKA MANZESE DARAJANI DAR!

Moshi ukiwa umetanda Manzese Darajani wakati moto ukiendelea kuwaka na kuteketeza baadhi ya Maduka ya Manzese Darajani jijini Dar. Watu waliojitokeza kushuhudia tukio la moto Manzese wakiwa wamepanda darajaji.…

 

11 years ago

CloudsFM

UTARATIBU WA SHINDANO LA SERENGETI SUPA NYOTA MWAKA HUU WABADIRISHWA

Baada ya shindano la kusaka vipaji la serengeti Supa Nyota kuendeshwa kwa miaka miwili mwaka huu utaratibu umebadilika kidogo kwani haitohusisha washiriki wa jinsia zote na badala yake akina dada pekee ndiyo watakaoruhusiwa kushiriki Supa Nyota Diva. First Lady wa Supa Nyota mwanadada Ney Lee, anamwita first lady kwa sababu mpaka sasa hivi hakuna binti aliyewahi kushinda katika Serengeti Supa Nyota zaidi yake, ambapo amewataka akinadada wote wenye vipaji wajitokeze kwa wingi katika shindano...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti akifurahia wikiendi mbugani

pic 1

Mshindi wa kwanza wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Hassan Mfaume akiwa na  rafiki yake kipenzi, Mohamedi Ally walipowasili katika hifadhi ya taifa ya Serengeti tayari kufurahia wikiendi yao kwa kutalii sehemu mbalimbali za hifadhi hiyo maarufu duniani. Safari hii inagharamiwa na Kampuni ya bia ya Serengeti.

pic 2

Bw. Hassan na rafiki yake wakiwa ndani ya gari baada ya kuanza safari yao ya utalii ndani ya mbuga mashuhuri ya Serengeti mkoani Mara.

pic 3

Hassan na rafiki yake wakipozi kwa ajili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani