RADIO DW-BONN YAMUHOJI KAMANDA RAS MAKUNJA,AZUNGUMUZIA MAFANIKIO NA CHANGA MOTO ZA MUZIKI WA KIAFRIKA BARANI ULAYA

Bonn,Asubuhi na mapema tu Radio Deutch Welle Idhaa ya Kiswahili inayorusha matangazo yake mjiniBonn,ujerumani, alimwamkia mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja kiongozi wa bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni.katika mahojianona mtangazaji mahiri Bi.Swaumu Mwasimba wa radio DW na kipindi cha muziki na utamaduniKamanda Ras Makunja anazungumzia mafanikio na changamoto za muziki wa kiafrika barani ulaya.pia amezungumizia jinsi muziki wa kiswahili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
USHAURI WA KAMANDA RAS MAKUNJA KWA WASANII KUHUSU SOKO LA MUZIKI ULAYA

WASANII LAZIMA WAANGALIE KWA MAKINI MIKATABA NA MUDA KUTUMBUIZA
Baada ya vyombo vya habari kuandikia kwa wingi tukio la fujo zilizotokea wikiendi ya 30.Augost 2014 katika show ya mwanamuziki Diamond, Blog ya jamii na timu ya Michuzi Media imefanya juhudi za kutaka kusikia maoni na mtazamo wa mwanamuziki wa Tanzania aliyeupigania muziki wa Tanzania katika soko la ughaibuni kwa miaka 21 si mwingine bali ni Kamanda ras Makunja wa FFUau...
10 years ago
Michuzi09 Oct
Kamanda Ras Makunja Akihojiwa na Radio Zenj FM kuhusu uchaguzi
11 years ago
VijimamboGWANDA ZA KAMANDA RAS MAKUNJA
mavazi ya kijeshi ,kamanda Ras Makunja na kikosi chake haliwahusu...
10 years ago
VijimamboHAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA
11 years ago
Michuzi.jpg)
HEPI BESIDEI YA KUZALIWA KAMANDA RAS MAKUNJA
.jpg)
10 years ago
Vijimambo
KICHEKO CHA KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU KULIKONI ?

10 years ago
Michuzi
HAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU UGHAIBUNI

Akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja), Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja ni mtunzi na mwimbaji mahili wa muziki wa dansi leo ndio Happy Birthday yake.
Unaweza kuburudika na...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band mwanamuziki mpiganaji
10 years ago
Michuzi
MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA RAS MAKUNJA

Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...