Kamanda Ras Makunja Akihojiwa na Radio Zenj FM kuhusu uchaguzi
Mwanamziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja mkuu kikosi cha Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni,amehojiwa na Radio Zenj Fm siku ya 8 Oktoba 2015 kuhusu mtazamo wa Watanzania walio nje ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu. msikilize katika audio
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s72-c/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Mahojiano ya Kamanda Ras Makunja na Zenj FM, asema Wanamuziki wa Bongo watoe kazi zao nje ya nchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s1600/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Asema Ras Makunja.
Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule
nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa siku ya jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-um6VQy0jGMU/VR19jJTmWfI/AAAAAAADePE/Ia3NAfx_I7g/s72-c/Kamanda-Ras-makunja-with-DIA-International-Diaspora-Award.jpg)
RADIO DW-BONN YAMUHOJI KAMANDA RAS MAKUNJA,AZUNGUMUZIA MAFANIKIO NA CHANGA MOTO ZA MUZIKI WA KIAFRIKA BARANI ULAYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-um6VQy0jGMU/VR19jJTmWfI/AAAAAAADePE/Ia3NAfx_I7g/s1600/Kamanda-Ras-makunja-with-DIA-International-Diaspora-Award.jpg)
Bonn,Asubuhi na mapema tu Radio Deutch Welle Idhaa ya Kiswahili inayorusha matangazo yake mjiniBonn,ujerumani, alimwamkia mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja kiongozi wa bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni.katika mahojianona mtangazaji mahiri Bi.Swaumu Mwasimba wa radio DW na kipindi cha muziki na utamaduniKamanda Ras Makunja anazungumzia mafanikio na changamoto za muziki wa kiafrika barani ulaya.pia amezungumizia jinsi muziki wa kiswahili...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O6T3Sxi-xxc/VAabEhBUg1I/AAAAAAAGcK8/BWBw6DN5yMA/s72-c/Kamnda%2BRas%2BMakunja%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
USHAURI WA KAMANDA RAS MAKUNJA KWA WASANII KUHUSU SOKO LA MUZIKI ULAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-O6T3Sxi-xxc/VAabEhBUg1I/AAAAAAAGcK8/BWBw6DN5yMA/s1600/Kamnda%2BRas%2BMakunja%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
WASANII LAZIMA WAANGALIE KWA MAKINI MIKATABA NA MUDA KUTUMBUIZA
Baada ya vyombo vya habari kuandikia kwa wingi tukio la fujo zilizotokea wikiendi ya 30.Augost 2014 katika show ya mwanamuziki Diamond, Blog ya jamii na timu ya Michuzi Media imefanya juhudi za kutaka kusikia maoni na mtazamo wa mwanamuziki wa Tanzania aliyeupigania muziki wa Tanzania katika soko la ughaibuni kwa miaka 21 si mwingine bali ni Kamanda ras Makunja wa FFUau...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CvEvuj8P0Ks/U-2VW-5JjCI/AAAAAAAF_t8/02Trzfe_qHY/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Mwanamuziki kamanda ras makunja afunguka kuhusu mabadiliko ya katiba na pia uraia pacha
![](http://4.bp.blogspot.com/-CvEvuj8P0Ks/U-2VW-5JjCI/AAAAAAAF_t8/02Trzfe_qHY/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
Akizungumza kutoka katika makao yake mjini Oldenburg,Ujerumani.Kamanda Ras Makunja wa kikosi kazi FFU-Ughaibuni alisemaKuwa: MCHAKATO WA KATIBA MPYA UMEWAFANYA WATANZANIAWENGI KUSOMA KATIBA YA...
10 years ago
VijimamboGWANDA ZA KAMANDA RAS MAKUNJA
Inasemekana ndie msanii anayepiga gwanda za kutisha ,na sheria ya nchi ya ujerumani inamuruhusu, kwa hivyo ajafunja sheria ya bongo
Gwanda za mkuu wa kikosi cha FFU-ughaibuni Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band ambaye pia ni mmliki wa himaya ya Viumbe wa ajabu "Anunnaki Empire" yenye makao yake kule Ujerumani,gwanda za mkuu huyo hazina uhusiano wowote na JWTZ,na zoezi linaloendeshwa hapa bongo la kuwasaka wasanii wenye
mavazi ya kijeshi ,kamanda Ras Makunja na kikosi chake haliwahusu...
mavazi ya kijeshi ,kamanda Ras Makunja na kikosi chake haliwahusu...
9 years ago
VijimamboHAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-44GF9_Avefk/VBvTUeip4CI/AAAAAAAGkZs/SJzjm0qHIx0/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
HEPI BESIDEI YA KUZALIWA KAMANDA RAS MAKUNJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-44GF9_Avefk/VBvTUeip4CI/AAAAAAAGkZs/SJzjm0qHIx0/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DfacekGT3zE/VfzN3V781eI/AAAAAAAH5_A/G2UMOR12H_Q/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
HAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-DfacekGT3zE/VfzN3V781eI/AAAAAAAH5_A/G2UMOR12H_Q/s320/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja), Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja ni mtunzi na mwimbaji mahili wa muziki wa dansi leo ndio Happy Birthday yake.
Unaweza kuburudika na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IBtCLfVXHgo/VIy1rAWlwpI/AAAAAAADRdg/B1c61OWXUgw/s72-c/other%2Bface%2Bof%2Bkamanda.jpg)
KICHEKO CHA KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU KULIKONI ?
![](http://3.bp.blogspot.com/-IBtCLfVXHgo/VIy1rAWlwpI/AAAAAAADRdg/B1c61OWXUgw/s1600/other%2Bface%2Bof%2Bkamanda.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania