Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFARANSA YAIKANDAMIZA HONDURAS 3-0

Mshambuliaji wa Ufaransa, Karim Benzema akiifungia Ufaransa bao la kwanza dhidi ya Honduras. Wilson Palacios wa Honduras akipewa kadi nyekundu baada ya kumchezea faulo Paul Pogba.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BURUNDI YAIKANDAMIZA STARS 3-0

Rashid Leon wa Burundi (kulia) akijaribu kuwatoka wachezaji wa Stars. Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza mtanange dhidi ya Burundi.…

 

11 years ago

GPL

YANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kulia) akikwaana na beki wa Kagera Sugar. Baadhi ya wachezaji wa Yanga kutoka kushoto ni: Simon Msuva, Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa na Oscar Joshua wakishangila ushindi wa leo dhidi ya Kagera Sugar.…

 

10 years ago

StarTV

U21 Ulaya, Italia yaikandamiza Uingereza 3-1.


Timu ya Italia ikishangilia bao.

Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.

Italia walianza kuandika bao lao la kwanza dakika ya 25 ya mchezo, kwa bao la Andrea Belotti Kabla ya Marco Benassi kuongeza mengine mawili dakika ya 27 na 72.

Nathan Redmond akaifungia timu yake ya England bao la kufutia machozi baada ya kazi nzuri liliyofanya na kiungo Ruben Loftus-Cheek.

Katika mchezo mwingine wa michuano hii Ureno walikwenda sare...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ecuador yailaza Honduras 2-1

Ecuador ilitoka nyuma na kuishinda Honduras 2-1 katika mechi ya kundi E

 

10 years ago

BBCSwahili

Mrembo na dadake wauawa Honduras

Wanaume 2 wamekamatwa baada ya binti mmoja mshindi wa mashindano ya urembo na dadake kupatikana wakiwa wameuawa karibu wiki moja baada ya kutoweka kwao.

 

10 years ago

Vijimambo

Mwili wa Miss Honduras 2014 wapatikana

Miss Honduras 2014, Maria Jose Alvarado. Photo Credits: Eye of Beauty  Habari zinazoripotiwa hivi punde na shirika la habari la AP kutoka TEGUCIGALPA, Honduras zinasema kuwa mwili aliyekuwa Miss Honduras 2014 pamoja na dada yake imekutwa ikiwa imezikwa karibu na SPA ambapo walikwenda siku ya Alhamis kusherehekea siku ya kuzaliwa ya rafiki wa kiume wa dada wa Miss huyo.
Miss Honduras 2014 Maria Jose Alvarado (19) na dada yake Sofia (23) walipotea Alhamis iliyopita, na Generali wa Polisi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto saba wauawa kinyama Honduras

Serikali nchini Honduras inachunguza vifo vya watoto saba wanaosadikiwa kuuawa baada ya kukataa kujiunga na magenge ya uhalifu.

 

9 years ago

BBC

Mali beat Honduras to progress at U-17s

Mali move into the last 16 of the Fifa Under 17 World Cup in Chile with a 3-0 win over Honduras to go top of group D.

 

9 years ago

StarTV

U-17 Mali yaichakaza Honduras, Coratia yapeta.

Michuano ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 hatua ya makundi inayoendelea nchini Chile timu ya Mali imetinga hatua ya 16 na kuongoza kundi D baada ya kuitandika timu ya Korea kaskazini kwa mabao 3-0.

Kipigo hicho kimeipa mkono wa kwaheri wa kutupwa nje ya michuano hiyo, huku Amodou Haidara akiifungia Mali bao la kuongoza , kabla ya nahodha Abdou Dante akiongeza la pili , na kisha Aly Male akiihakikishia ushindi kwa kupachika bao la tatu sasa timu hiyo itakipiga na Coratia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani