YANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1
Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kulia) akikwaana na beki wa Kagera Sugar. Baadhi ya wachezaji wa Yanga kutoka kushoto ni: Simon Msuva, Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa na Oscar Joshua wakishangila ushindi wa leo dhidi ya Kagera Sugar.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLYANGA SC YAPIGWA NA KAGERA SUGAR KAITABA LEO
BAO pekee la kiungo Paul Ngway, dakika ya 52 jioni ya leo limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa Kaitaba, Bukoba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Yanga SC ilimaliza mchezo huo pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na refa Abdallah Kambuzi wa Shinyanga, baada ya kumpiga kichwa Rashid Mandawa wa Kagera. Baada ya...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2xT90QEpaZc/default.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Nov
YANGA YAKUNG'UTWA NA KAGERA SUGAR BAO MOJA KWA NUNGE
Na Faustine Ruta, BukobaKlabu ya Dar es salaam Young Afrika imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao Kagera Sugar kwenye mchezo uliopigwa ndani ya Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba.Kipindi cha kwanza Timu zote mbili zilimaliza bila ya kufungana, Kipindi cha pili Kagera Sugar walitumia faida ya kucheza nyumbani na kufanikiwa kupata bao lililofungwa kiufundi na paul...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Phiri awagwaya Kagera Sugar
Kocha wa Simba, Patrick Phiri ameingiwa na mchecheto na mechi yao dhidi ya Kagera Sugar itakayochezwa leo na kudai mchezo huo utakuwa mgumu, lakini anaamini atapata pointi tatu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kiiza.jpg?width=650)
SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1
TIMU ya Simba SC leo imeibuka kifua mbele baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao yote ya Wekundu wa Msimbazi yamewekwa kimiani na mshambuliaji raia wa Uganda, Hamis Kiiza aliyepiga 'hat trick' na kuondoka na mpira wake baada ya mechi. Bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na Mbarak Yusuf. Kwa matokeo ya leo, Simba...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Kagera Sugar kuteseka Bara
Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 itaanza keshokutwa huku ratiba ya ligi hiyo ikizipa nafasi za kusafiri umbali mfupi zaidi timu za Ruvu Shooting, Azam na Yanga wakati Kagera Sugar, Mbeya City, Polisi Morogoro na Stand United ndizo zitakazosafiri umbali mrefu zaidi.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s72-c/_MG_5505.jpg)
AZAM FC YAILAMBA KAGERA SUGAR 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s640/_MG_5505.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwES7MjFZOk/VoAQaFikPFI/AAAAAAABmMo/LERi7NqCYDM/s640/_MG_5506.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zX0mhPjqA1Q/VoAQab_7LYI/AAAAAAABmMs/3m9zxtdX7cE/s640/_MG_5507.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LFu0R4FpO_U/VoAQskQOIxI/AAAAAAABmNI/NGCzmcrw6jU/s640/_MG_5512.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UJ1C0Zy3YTY/VoAQxOKlv_I/AAAAAAABmNY/2_zgXvK2gBI/s640/_MG_5530.jpg)
9 years ago
MichuziKAGERA SUGAR YAIBUKA MSHINDI WA 1-0
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania