Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomali, kuzihukumu Yanga, Azam

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Somalia na Sudan kuchezesha mechi ya  Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Komorozine na ile ya Kombe  la ShirikishoAfrika kati ya  Azam FC dhidi ya Ferroviario Da Beira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nkongo kuzihukumu Yanga, Azam

nkongoNA MWALI IBRAHIM NA JULIET MORI (TUDARCO)

MWAMUZI Israel Nkongo anayetambulika na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), anatarajiwa kuamua mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Azam na Yanga, utakaochezwa Jumamosi hii, Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Nkongo ana historia kubwa na mechi hiyo kwani aliwahi kuchezesha mechi ya ligi ya miamba hiyo Machi 2012, lakini mchezo huo ulioishuhudia Azam ikitoka kifua mbele kwa kushinda 3-1, ulimalizika kwa Nkongo kupata mkong’oto kutoka kwa wachezaji wa Yanga,...

 

11 years ago

GPL

WASOMALI KUCHEZESHA YANGA, WACOMORO

Kikosi cha timu ya Yanga SC. CAF imeteua waamuzi kutoka Somalia kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Komorozine Sports ya Comoro. Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya mchujo itafanyika jijini Dar es Salaam kati ya Februari 7 na 9 mwaka huu wakati ile ya marudiano itachezwa kisiwani Comoro kati ya Februari 14 na 16 mwaka huu.
Mwamuzi wa kati atakuwa Hassan Mohamed Hagi wakati wasaidizi wake ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Kaya 50 zachomewa nyumba, watu 2,000 waamua kuzihukumu

Kaya zaidi ya 50 za Kijiji cha Kansay, Wilaya ya Karatu, hazina mahala pa kuishi baada ya nyumba zao kuchomwa moto.

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam usihadithiwe

AZAM FC ina kibarua kigumu cha kufuta uteja kwa Yanga katika mechi za Ngao ya Jamii wakati zitakapomenyana leo katika mechi ya kufungua msimu wa 2015-16 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga down Azam on penalties

The National Stadium turned into a sea of green and yellow when Mainland champions Young Africans beat Azam FC 8-7 on post-match penalties in the Community Shield match yesterday.

 

11 years ago

TheCitizen

Go on and cheer us up, Yanga and Azam!

Several of Africa’s top clubs begin their quest for glory in the continent’s premier club and second-tier cup competitions this weekend. Tanzania will field four teams in the two competitions -- Young Africans and Azam FC from the Mainland and KMKM and Chuoni from Zanzibar.

 

10 years ago

GPL

Yanga yaivurugia Azam

Wachezaji wa Yanga, wakishangilia goli. Na Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
YANGA leo Jumamosi inacheza na Mgambo JKT katika Ligi Kuu Bara, lakini imeonyesha jeuri ya fedha kwa kumuweka katika mawindo yake beki wa kushoto Samir Nuhu ambaye Azam FC ilikuwa katika mpango mkali wa kumrudisha kundini. Nuhu, kabla ya kuumia goti hivi karibuni na kupelekwa India kufanyiwa upasuaji, alikuwa akiitumikia Azam vizuri lakini tangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani