Kaya 50 zachomewa nyumba, watu 2,000 waamua kuzihukumu
Kaya zaidi ya 50 za Kijiji cha Kansay, Wilaya ya Karatu, hazina mahala pa kuishi baada ya nyumba zao kuchomwa moto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Kaya 5,000 za Mbozi kuwezeshwa kiuchumi
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mvua yaua watu watatu, kaya zaidi ya 70 zakosa makazi
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
9 years ago
MichuziNHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mafuriko yazamisha nyumba 7,000
WAKAZI 7,000 wa kata tatu, Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana makazi baada ya nyumba zao zinazokadiriwa kufikia 2,500 kumezwa na maji kutokana na mafuriko huku nyingine zikisombwa na...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Nyumba 3,000 Dar zawekwa alama ya X
RUTH MNKENI NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
ZOEZI la uwekaji wa alama ya X katika nyumba zilizojengwa mabondeni jana liliendelea, huku nyumba zaidi ya 3,000 zilizojengwa katika Bonde la Mto Msimbazi ziliwekewa X tayari kwa ajili ya kubomolewa.
Tangu kuanza kwa zoezi hilo la uwekaji wa alama hiyo katika nyumba zilizojengwa kando ya mto na kwenye hifadhi ya bahari, zaidi ya nyumba 5,000 zimeshawekewa X.
Kutokana na idadi hiyo huwenda nyumba zaidi ya 8,000 zikakumbwa na bomoabomoa...
10 years ago
Habarileo17 Oct
Wakazi 2,000 Bagamoyo kujengewa nyumba
WAKAZI 2,080 wa maeneo ya Pande na Mlingotini wametangaziwa neema ya kujengewa nyumba za kuishi baada ya maeneo yao kuchukuliwa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo.