Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali

Ripoti mpya inasema kuwa Wasomali milioni 3 wanaotegemea kuhamisha fedha kutoka ng'ambo wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya

Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

 

10 years ago

Vijimambo

Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

Kenya imefunga mashirika 13 na akaunti 86 za watu wanaodhaniwa kufadhili Al ShabaabWasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.

Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.

Hatua hiyo...

 

9 years ago

Mwananchi

Kili Stars kuanzia kwa Wasomali

Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) itaanza harakati za kusaka ubingwa wa mashindano ya Chalenji kwa kuikabili Somalia katika mchezo wao wa ufunguzi Novemba 22 nchini Ethiopia.

 

10 years ago

Habarileo

“Unyama kwa albino kuathiri amani ya nchi”

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeonya kuwa unyama unaofanywa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), yatasababisha Tanzania kufutika kwenye ramani ya visiwa vya amani duniani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja

IMG_5019

Wateja wakisikiliza mazungumzo mojakwamoja Baina ya mteja na muhudumu wetu katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter)  IMG_5004 IMG_4911 Mkuu wa idara ya Huduma kwa wateja, Ndugu Zaeem Khan akikabidhi kadi za kipaumbele kwa wateja waliohudhuria hafla hiyo. IMG_5035 Wateja waliopata nafasi ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) wakipata maelekezo kuhusu huduma za Tigo. picha 02 Picha ya pamoja ya Wafanyakazi  na wateja wa Tigo waliotembelea kituo cha Huduma kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama "Airtel care App"  Application hii mpya ya "Airtel care App" ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa "Airtel care App" Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw Jackson...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ungependekeza kufungwa kwa saluni na vinyozi?

Australia imebadilisha uamuzi wa kuweka muda wa dakika 30 kwa saluni za kutengeza nywele kufuatia lalama nyingi zilizotolewa na wahusika

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeua na kuchapisha kwa Facebook kufungwa

Mwanaume mmoja aliyeua mkewe na kuchapisha picha yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook amepatikana na hatia ya mauaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapinga kufungwa kwa duka la Uchumi TZ

Wafanyikazi waliojawa na hasira kutoka kwa duka la jumla la Uchumi Supermarket wamelazimisha kufungwa kwa mojawapo ya maduka hayo nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani