Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali
Ripoti mpya inasema kuwa Wasomali milioni 3 wanaotegemea kuhamisha fedha kutoka ng'ambo wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/06/150406100153_kenya_soldier_512x288_getty_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/06/150406123126_kenya_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.
Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.
Hatua hiyo...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Kili Stars kuanzia kwa Wasomali
Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) itaanza harakati za kusaka ubingwa wa mashindano ya Chalenji kwa kuikabili Somalia katika mchezo wao wa ufunguzi Novemba 22 nchini Ethiopia.
10 years ago
Habarileo26 Aug
“Unyama kwa albino kuathiri amani ya nchi”
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeonya kuwa unyama unaofanywa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), yatasababisha Tanzania kufutika kwenye ramani ya visiwa vya amani duniani.
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama "Airtel care App" Application hii mpya ya "Airtel care App" ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa "Airtel care App" Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw Jackson...
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Ungependekeza kufungwa kwa saluni na vinyozi?
Australia imebadilisha uamuzi wa kuweka muda wa dakika 30 kwa saluni za kutengeza nywele kufuatia lalama nyingi zilizotolewa na wahusika
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Aliyeua na kuchapisha kwa Facebook kufungwa
Mwanaume mmoja aliyeua mkewe na kuchapisha picha yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook amepatikana na hatia ya mauaji.
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Wapinga kufungwa kwa duka la Uchumi TZ
Wafanyikazi waliojawa na hasira kutoka kwa duka la jumla la Uchumi Supermarket wamelazimisha kufungwa kwa mojawapo ya maduka hayo nchini Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania