Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyeua na kuchapisha kwa Facebook kufungwa

Mwanaume mmoja aliyeua mkewe na kuchapisha picha yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook amepatikana na hatia ya mauaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MSANII WA VICHEKESHO, IDRIS SULTAN KIZIMBANI KWA KOSA LA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI

 Msnii wa vichekesho nchini, Idris Sultan akiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.MSANII wa vichekesho nchini, Idris Sultan na wenzake wawili wamefikishwa leo Machi 20,2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wakikabiliwa na kosa moja la kuchapisha maudhui mtandaoni bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Doctor Ulimwengu na Isihaka Mwinyimvua ambapo wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyeua mke kwa wivu naye auawa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWATU wenye hasira wamempiga hadi kumuua mwanamume, aliyemuua mke wake kwa kumpiga rungu tumboni.

 

10 years ago

Habarileo

Aliyeua kwa kucharanga mapanga korti yamkabidhi stahiki yake

MKAZI wa Kijiji cha Ingri Juu wilaya ya Rorya, Phillimon Agala (52) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Seleman Gershon kwa kumkatakata kwa mapanga.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyeua mke bila kukusudia aachwa huru kwa masharti

MAHAKAMA Kuu Tanzania Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, imemwachia huru kwa masharti, Evod Johannes (34) maarufu Luvanda, baada ya kukiri kumuua mke wake bila kukusudia.

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

9 years ago

BBCSwahili

UN kuchapisha mataifa yanayochafua mazingira

Inadaiwa kuwa joto limeongezeka kwa zaidi ya kipimo cha nyuzi joto mbili, na kuhatarisha zaidi sayari ya dunia.

 

9 years ago

Michuzi

Namna ya Kuchapisha Vitabu Mtandaoni

Na Profesa Mbele
Kutokana na taarifa ninazoandika katika blogu hii, na sehemu zingine, watu wengi wanafahamu kuwa nimechapisha vitabu vyangu mtandaoni. Nimeshawasaidia waandishi kadhaa wa mataifa mbali mbali kuchapisha vitabu vyao kwa mtindo huo. Kwa upande wa Tanzania, niliwahi kuongea na wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhusu suala hilo, na nilinukuliwa katika gazeti la Mwananchi.

Mara kwa mara, watu huniulizia kuhusu kuchapisha vitabu vyao. Napenda kuongelea tena suala hili,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapinga kufungwa kwa duka la Uchumi TZ

Wafanyikazi waliojawa na hasira kutoka kwa duka la jumla la Uchumi Supermarket wamelazimisha kufungwa kwa mojawapo ya maduka hayo nchini Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali

Ripoti mpya inasema kuwa Wasomali milioni 3 wanaotegemea kuhamisha fedha kutoka ng'ambo wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani