Aliyeua na kuchapisha kwa Facebook kufungwa
Mwanaume mmoja aliyeua mkewe na kuchapisha picha yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook amepatikana na hatia ya mauaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LSb2ddFjlBU/XnTZf7_7FCI/AAAAAAALkjo/eZJvhJsGrQoGPnH79AOHpeGJauzyVkImgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.09.01%2BPM.jpeg)
MSANII WA VICHEKESHO, IDRIS SULTAN KIZIMBANI KWA KOSA LA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LSb2ddFjlBU/XnTZf7_7FCI/AAAAAAALkjo/eZJvhJsGrQoGPnH79AOHpeGJauzyVkImgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.09.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fWvDVyJroWQ/XnTZfnnncQI/AAAAAAALkjk/1UM9tf6Wn5kjPoAsjOU8esVkdcEkrOB5gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.49.40%2BPM.jpeg)
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Doctor Ulimwengu na Isihaka Mwinyimvua ambapo wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa...
10 years ago
Habarileo23 Sep
Aliyeua mke kwa wivu naye auawa
WATU wenye hasira wamempiga hadi kumuua mwanamume, aliyemuua mke wake kwa kumpiga rungu tumboni.
10 years ago
Habarileo29 Mar
Aliyeua kwa kucharanga mapanga korti yamkabidhi stahiki yake
MKAZI wa Kijiji cha Ingri Juu wilaya ya Rorya, Phillimon Agala (52) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Seleman Gershon kwa kumkatakata kwa mapanga.
11 years ago
Habarileo06 Feb
Aliyeua mke bila kukusudia aachwa huru kwa masharti
MAHAKAMA Kuu Tanzania Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, imemwachia huru kwa masharti, Evod Johannes (34) maarufu Luvanda, baada ya kukiri kumuua mke wake bila kukusudia.
10 years ago
Bongo519 Nov
Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
UN kuchapisha mataifa yanayochafua mazingira
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fOfEOdbhBuQ/VnYaEDF-5mI/AAAAAAAAL6c/fq07Qm6KtGE/s72-c/FullSizeRender%2B%25287%2529.jpg)
Namna ya Kuchapisha Vitabu Mtandaoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-fOfEOdbhBuQ/VnYaEDF-5mI/AAAAAAAAL6c/fq07Qm6KtGE/s200/FullSizeRender%2B%25287%2529.jpg)
Kutokana na taarifa ninazoandika katika blogu hii, na sehemu zingine, watu wengi wanafahamu kuwa nimechapisha vitabu vyangu mtandaoni. Nimeshawasaidia waandishi kadhaa wa mataifa mbali mbali kuchapisha vitabu vyao kwa mtindo huo. Kwa upande wa Tanzania, niliwahi kuongea na wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhusu suala hilo, na nilinukuliwa katika gazeti la Mwananchi.
Mara kwa mara, watu huniulizia kuhusu kuchapisha vitabu vyao. Napenda kuongelea tena suala hili,...
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Wapinga kufungwa kwa duka la Uchumi TZ
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali