Aliyeua kwa kucharanga mapanga korti yamkabidhi stahiki yake
MKAZI wa Kijiji cha Ingri Juu wilaya ya Rorya, Phillimon Agala (52) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Seleman Gershon kwa kumkatakata kwa mapanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Aliyeua na kuchapisha kwa Facebook kufungwa
10 years ago
Habarileo23 Sep
Aliyeua mke kwa wivu naye auawa
WATU wenye hasira wamempiga hadi kumuua mwanamume, aliyemuua mke wake kwa kumpiga rungu tumboni.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZPboTPx89Y/U-ncC1V_TSI/AAAAAAAF-3o/Hs9JW6mtoRU/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
VODACOM YAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE MAMILIONI YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZPboTPx89Y/U-ncC1V_TSI/AAAAAAAF-3o/Hs9JW6mtoRU/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
9 years ago
StarTV03 Nov
Watu wanne wauawa kwa kucharangwa kwa mapanga.
Watu wanne wamekutwa wameuawa katika kijiji cha Katoma wilayani Bukoba, miili yao ikiwa imecharangwa kwa mapanga na watu wasiofahamika .
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna MSAIDIZI Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba hadi sasa watu waliohusika na mauaji hayo bado hawajatiwa mbaroni.
Matukio hayo yametokea katika kijiji cha Katoma wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo jumla ya watu wanne wameuawa katika maeneo mawili...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qP-y2tt6KaU/VBlXMaudcEI/AAAAAAAGkCw/wrdKzWn9d24/s72-c/PIX%2B1.jpg)
KAMPUNI YA PUMA ENERGY YAMKABIDHI SILIMA MAMILIONI YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qP-y2tt6KaU/VBlXMaudcEI/AAAAAAAGkCw/wrdKzWn9d24/s1600/PIX%2B1.jpg)
11 years ago
Habarileo06 Feb
Aliyeua mke bila kukusudia aachwa huru kwa masharti
MAHAKAMA Kuu Tanzania Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, imemwachia huru kwa masharti, Evod Johannes (34) maarufu Luvanda, baada ya kukiri kumuua mke wake bila kukusudia.
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Auawa kwa kucharangwa mapanga
WATU wasiojulikana wamevamia Kanisa la Pentekoste Assemblies of God ( PAG ) usiku wa kuamkia leo Tawi la Kagemu, Kata ya Kitendaguro Manispaa ya Bukoba na kumuua mwalimu ambaye ni...
11 years ago
GPLAUAWA KIKATILI KWA MAPANGA
10 years ago
Habarileo28 Mar
Wafanyabiashara washinikiza korti kwa kufunga maduka
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja, kufutiwa dhamana na Mahakama na kupelekwa rumande, wafanyabiashara sehemu mbalimbali nchini, wamefunga maduka kushinikiza kuachiwa kwa kiongozi wao.