Wafanyabiashara washinikiza korti kwa kufunga maduka
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja, kufutiwa dhamana na Mahakama na kupelekwa rumande, wafanyabiashara sehemu mbalimbali nchini, wamefunga maduka kushinikiza kuachiwa kwa kiongozi wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Tanga watishia kufunga maduka kugomea EFD
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/home-shopping-center-2.jpg)
Home Shopping Centre nao kufunga maduka yao
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Wafanyabiashara Kibaha wafunga maduka
WAFANYABIASHARA zaidi ya 50 wa mji wa Kibaha Mkoani Pwani, wamefunga maduka yao kuwaunga mkono wafanyabiashara saba waliofungiwa maduka na Mamlaka ya Mapato (TRA), mkoani hapa kutokana na kukosa mashine...
11 years ago
Habarileo03 Jul
Wafanyabiashara washauriwa kufunga CCTV
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kufunga kamera za CCTV katika maeneo yenye biashara kubwa, kusaidia kuzuia na kubaini wahalifu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVK0YidHV6mbrxvBr2aXtVJdfJVlI-LluCuXu7RM-UGiN7b9CJtk-M5hjAFDNN6nsbcV0HvGtiiG86Ju4komTGiE/maduka5.jpg?width=650)
BAADHI YA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR WAFUNGA MADUKA KUMUUNGA MKONO MWENYEKITI WAO
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Wafanyabiashara watakiwa kufunga kamera za CCTV
WAFANYA BIASHARA wakubwa wa hoteli na maduka nchini wametakiwa kufunga kamera za CCTV kwenye biashara zao ili unapotokea uhalifu wahusika waweze kubainika mara moja na kukamatwa kiurahisi bila kusumbua jeshi...
11 years ago
Michuzi14 Feb
TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS
![DSCF2699](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/fP6Nvu4doNvksvn8R6TfVg2KxvZ1hjRuubH0OaLbZAfs0UKpk4iTdpYgbV3_jtKMaSPEi3ipY9eQd-jbC9vod-S2nXmSVd-I-beBpcHIUJz8nXuEjr6S5aP9Fc_1YQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2699.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2695](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9wXJMgcTT1gL2Dh9Q64z5LzpX8xPKjhMLT21mzOU13J3oI9GzaOrAN5zbGIDnMb7J6q7HMXYr2VkgDo0DF1KtNid4OVOc0VLoJKe_vtoW6dI-DItEAui1XIZFAldpw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2695.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2697](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/wofDhjDluKornfCBlzzW9uqlD7Hnf809mhcZNXo69GmfPeDHnqTWaMk6qvuPZqwM-HTbl9vqSKadKzzcUsk9lEyydcO-RhbVBIzK8l4-bfq6nqvwQTd2i5WHT6aXnw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2697.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2713](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/xFfK6G9Fisk13uJDlxE6qQ7tFz2zsqS-nT_yI2BznCXMOjnD6bfeeKPPymc7FEK5k05F0OjNc9vszEpcM0UqSRPD97xGJ3K0Lt_pTxhzijuRya1e_m_IxzfJQRqDZQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2713.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2700](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/YjQ5X6jvCRJUnJBlzyiWVgO_fthElxH0R980xoYTA8_yyLm8xyWizczd-qFOpDDmjkvq_Z6lWMTX508SCnTrNxJ71DkS0S1Tpc4Zdk2Eu_CjcjfSTZPR2RK_viydWA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2700.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2706](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Iiss-_jgQlgCR_W1sUPVe4AV_put2_zLgy86WdpXNTqKMnwh2tUA813PHoMN3cUuFT9uMU5XYJut0pMAxC2e8dk_nRQX0jVlzCSBTjYgdHoXgS7lX-Mv_7agy5WMEA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2706.jpg?w=627&h=470)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...