Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara washinikiza korti kwa kufunga maduka

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson MinjaSIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja, kufutiwa dhamana na Mahakama na kupelekwa rumande, wafanyabiashara sehemu mbalimbali nchini, wamefunga maduka kushinikiza kuachiwa kwa kiongozi wao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tanga watishia kufunga maduka kugomea EFD

Wafanyabiashara wadogo mjini hapa wametishia kufunga maduka yao iwapo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) itaendelea kushinikiza matumizi ya Mashine za Kielektroniki za Kutoa Risiti (EFD)

 

9 years ago

GPL

Home Shopping Centre nao kufunga maduka yao

Mojawapo ya maduka ya Home Shopping Centre. KAMPUNI ya Home Shopping Centre nayo imetoa azimio la kutaka kusitisha huduma zake na kufunga maduka kama walivyofanya wenzao wa Uchumi Supermarket hivi karibuni. Katika notisi ya azimio iliyotolewa kwa umma na mfilisi Yusufu Mohamed wa Law Domain Advacates kwenye gazeti la serikali la Daily News inaonyesha kuwa maazimio yaliyofikiwa Oktoba 5, mwaka huu, Home Shopping Centre Ltd...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Kibaha wafunga maduka

WAFANYABIASHARA zaidi ya 50 wa mji wa Kibaha Mkoani Pwani, wamefunga maduka yao kuwaunga mkono wafanyabiashara saba waliofungiwa maduka na Mamlaka ya Mapato (TRA), mkoani hapa kutokana na kukosa mashine...

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara washauriwa kufunga CCTV

WAFANYABIASHARA wameshauriwa kufunga kamera za CCTV katika maeneo yenye biashara kubwa, kusaidia kuzuia na kubaini wahalifu.

 

10 years ago

GPL

BAADHI YA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR WAFUNGA MADUKA KUMUUNGA MKONO MWENYEKITI WAO

Baadhi ya maduka Mtaa wa Gerezani, Kariakoo yakiwa yamefungwa leo. Mbali na maduka mengine kufungwa, baadhi ya maduka yalikuwa wazi yakiendelea kutoa huduma kwa wateja. Baadhi ya wafanyabiashara…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara watakiwa kufunga kamera za CCTV

WAFANYA BIASHARA wakubwa wa hoteli na maduka nchini wametakiwa kufunga kamera za CCTV kwenye biashara zao ili unapotokea uhalifu wahusika waweze  kubainika mara moja na kukamatwa kiurahisi bila kusumbua jeshi...

 

11 years ago

Michuzi

TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS

DSCF2699Kaimu kamishna Mkuu wa wa Mamlaka ya mapato Tanzania Rished Bade akizungumza na vyombo vya habari jijini Arusha kuhusu mgomo wa wafanyabiashara hapa Nchini DSCF2695Waandishi wa habari wakiwa kazini DSCF2697Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa walipa kodi Richard Kayombo DSCF2713Mr.Jangala ambaye ni Ajenti wa usafirishaji wa magari ya mikoani akilalamikia hali ya wafanyabiashara kugoma ambapo anadai kuwa imemuathiri kwa kiasi kikubwa kukosa abiria wanaokuja kununua bidhaa za jumla DSCF2700 DSCF2706Shughuli mbalimbali zilidorora hata...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani